Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Wasipokuelewa hapa mkuu basi tena.
 
Mkuu!Kuwa makini sana na hawa watu wa upande wa pili.
Angalia mfano huu:-
 
Huu ni upotoshaji.
 
Hata Tunapomsalia Mtume Tunasema:

Allahumma Sali 'alaa Muhammad wa'alihy Muhammad Kamma Salayta 'alaa Ibrahim wa'alihy Ibrahim....na Salam kama inavyoendelea
Hii manake kulikuwa kuna namna ya kumsalia Nabii Ibrahim wakati Alipokuwa Mtume wa Allah

So Ibrahim Alikuwa ni Muislam
 
Mkuu mimi hapo sijaelewa kitu.
Hapo linaoneshwa jina Mahammad katika lugha ya asili yaani Kiebrania.Lakini kwenye mstari huohuo ulitafsiriwa kwa lugha ya Kiingere,wameweka tafsiri yao na hivyo kulificha jina Mahammad.Iangalie hiyo video.

Nini maana yangu sasa,maana yangu ni kukujulisha kuwa uwe makini katika maandiko ya asili na majina kwa maana tafsiri ya jina ulenga kupotosha wakati mwingine.
 
Hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.

Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu, ambaye anakubaliki na Dini zote, kuanzia Uyahudi, Ukristo mpaka Uisilamu, na hawa wote ibada zao zimetofautiana.

Je, niwapi wanaomfata?
nendeni jumuia watakufunza
 
"bila shaka katika haya kuna mazingatio (dalili/mifano ya wazi kabisa) lakini je yupo katika wao anayetafakari? ni wachache sana wenye kukumbuka na kutafakari"

nimejikuta nimeandika maneno hayo yanafanana fanana na quran kidogo japo sijui ni sehemu gani katika quran
 
Quran hii iliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu haitafsiriwi hivyo, mujitahid yes, lakini ongeza juhudi ya kuijua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hayo maneno Mwenyezi Mungu ameyaleta katika Aya nyingi tu ndani ya Quran.
 
Kwa mujibu wa Quran kitabu cha mwisho kutoka kwa Mwenyezimungu, Ibrahim alikuwa Mwislamu akiabudu Mungu mmoja.

"Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina." Quran 3:67

Aidha Uislamu ndio uliofunuliwa kwa mitume mingine.

"Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi." Quran 4:163
 
Msingi wa hizo dini korofi tatu ni maandishi ya gospels ambazo zilikuwepo luluki.

Kitu pekee ambacho gospel imesaidia dunia ni kuleta dhana ya mungu mmoja aliye mbinguni.

Tatizo la awali kabla ya gospel kukusanywa na kuandikwa kwa vitabu vya dini. Ilikuwa fujo kwenye kuabudu japo watu waliamini mungu mmoja na kufuata hizo gospel ila kila mtu alifanya mambo kwa mtindo wake.

Unakuta utaratibu wa kanisa A na B mtaa wa pili kwenye kufanya ibada ni tofauti. Ukienda mile 100 ndio kabisa na si ajabu hiyo gospel yenyewe washaichakachua wana version yao. Kwa hivyo kukawa na version nyingi sana za story za Abraham, Adam and Eve na wengineo.

Ilikuwa ivyo mpaka Constantine alipo tawala Roman emoire na kuwaita wahubiri na kuwaambia waandike biblia moja ambayo kila mtu ataifuata na kuwe na namna sahihi ya kufanya ibada. Sasa kabla ya biblia kuandikwa hao maaskofu, ilibidi wajadiliane na wakubaliane gospel zipi muhimu kwao na version zipi ni muhimu kwa dini yao kwa kupiga kura.

You get the ideas na Jews na waislamu na wenyewe wakaenda na mtindo huo huo kwenye kuandika vitabu vyao kuchukua versions zinazowafaa wao. Na kuna versions luluki inasadikika bado zipo ambazo hakuna dini ilizi adapt.

Hizo ndio sababu mitume wote wa hizi dini tatu korofi ndio wale wale; ila version zao ndio zinapishana na huo ukorofi mpaka leo unaendelea; mada hii ni kielelezo cha hizi dini tatu korofi.
 

A very interesting documentary to open minded people wishing to understand the sources of the so called holy books.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…