Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Unajibiwa kadiri utakavyo kuja ukija kwa hoja utajibiwa kwa hoja ukija kijinga utajibiwa kijinga vile vile ,mtoa mada ameuliza swali kuwa nabii Ibrahimu alikuwa dini gani ww badala ya kujibu swali la mleta mada,unaanza kuwadhihaki waislam kwani mtoa mada kuna sehemu yeyote ametaja waislam?

Unataka upewe heshima wakati ww huna hashima?
heshima gani ninayeitaka humu mimi nisiye na umaarufu humu kati ya members zaidi ya laki sita? Kwa hiyo unajibu kipuuzi kwa kuwa una jazba. We dini huijui kaa kimya
 
Wakini mwingine muwe makini enyi waumini wa dini, tulizeni munkari na jazba humu kuna watu wanajua kucheza na akili za watu, ukijua haya hautatokwa na povu
 
Wanasema ni dini iliyokamilika tangu imekuja lakini.

Mud ndio laleta nguzo 5 hivyo kabla kama ilikuwepo wakati wa Ibrahim zilikuwepo nguzo ngapi.

Sasa hivi wakokunasa ili ujiunge nao Wana shahada sijui ni ya sheria au ya udaktari wanakuambia utamke, Sasa kama hicho kitabu hakikuwepo na huyo mud hakuwepo hiyo shahada enzi hizo ilikuwa inatamkwaje au mshkaji aliichomekea ili awe anatakiwa tajwa?
 
Surah 3 Ali 'Imran, Ayat 67-67

مَا كَانَ اِبۡرٰهِيۡمُ يَهُوۡدِيًّا وَّلَا نَصۡرَانِيًّا وَّ لٰكِنۡ كَانَ حَنِيۡفًا مُّسۡلِمًا ؕ وَمَا كَانَ مِنَ الۡمُشۡرِكِيۡنَ‏ ﴿3:67﴾


(3:67) Abraham was neither a Jew nor a Christian; he was a Muslim, wholly devoted to God.59 And he certainly was not amongst those who associate others with Allah in His divinity.

مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

ANAYEPINGA APINGE KWA MAANDIKO.
Naomba unisaidie kufahamu. Ili uwe muislamu ni lazima ushuhudie kuwa mwenyezi mungu ni mmoja na Muhammad ni mtume wake. Yaani ni lazima utoe shahada.

Sasa nafahamu Ibrahimu alikuwepo kabla ya mtume Muhammad. Je, aliisema hii shahada au alifanyaje akawa muislamu? Asante.
 
Nimesema una mavi kichwani kwa Sababu uliyo yaandika hayana tofauti na mavi.

Suala la waislam kusema Ibrahim ni muislam haikuhusu kwa sababu ndo wanamini hivyo ww ulicho takiwa ni kujibu swali la mleta mada kuwa Ibrahim alikuwa dini fulani kwa mujibu wa dini yenu.
Urokole umekutoa akili umekuwa mpumbavu ndo maana wachungaji wenu wamewageuza kuwa vitega uchumi maana mna akili za kipuuzi.
Sheikh, tuliza kwanza mzuka! Kwa hiyo unataka kusema Uislamu ulikuwepo hata kabla ya kuzaliwa Mtume wenu Muhammad SAW? Siku zote nilijua yeye Mtume Muhammad ndiye muasisi wa Uislamu!

Maana kwenye Biblia, Ibrahimu anaonekana kuwepo miaka mingi iliyopita! Yaani kabla ya Yesu kuzaliwa karne ya 1 AD, na pia Mtume wenu miaka zaidi ya 500 AD!
 
Naomba unisaidie kufahamu. Ili uwe muislamu ni lazima ushuhudie kuwa mwenyezi mungu ni mmoja na Muhammad ni mtume wake. Yaani ni lazima utoe shahada.

Sasa nafahamu Ibrahimu alikuwepo kabla ya mtume Muhammad. Je, aliisema hii shahada au alifanyaje akawa muislamu? Asante.
Mimi simjuzi sana ila uchache wangu wa elimu jibu lako ni kuwa:
1. Shahada hutumiwa kwa mtu aletoka kwenye dini nyengine kuingia kwenye uislam, kwa mfano wa Abraham yeye hakuwa katika dini nyengine kwa hio hakusilimu.
2. Kwa kilamtume kutoka Adam wanaposilimu huwa wanatoa shahada kwa kukubali kuwa Muungu ni mmoja na mtume wa wakati huo kuwa ni mtume wa Muunge kwamfano kipindi cha Abraham utashahadia kwa kusema Allan ni mmoja na Abraham ni mtume wa Allah, kipindi cha Yesu (Issa bin maryyam) utashuhudia kuwa Allah ni mmoja naYesu ni mtume wa Allah nk
3. Shahada yeyote huwa ina maneneo ya kumtambua kuwa Allah ni mmoja na kwa upande wa pili Mtume wa wakati husika ni mjumbe wa Allah.
Ndio maana kwa waislamu lazima uwaamini mitume yote yaloopita ni sharti na siombi, kwa kuwa wote wametumwa na Allah
 
Mkuu wakati huo hakukuwepo na Dini. Ila kilichokuepo ni Imani Aidha imani kwa Mungu au kwa Miungu.

Kwa hiyo wakati huo wa Ibrahimu dini haikuepo maana hata yeye kabla ya hapo hakujua Mungu ila alikua akienenda kwa haki na ndio maana Mungu akamtokea na akabarikiwa kwa sababu ya nini? HAKI NA IMANI.
Mimi naona wewe ndiyo umeeleza sasa kwa usahihi.
 
Kwa nini nyie waumini mnapenda kuingizwa chaka na mnaingia wote? Jibuni hoja achaneni na mimi mtachoka bure, mtaota sugu vidoleni mwenu kwa kubonyesa kibodi ili mjibizane na mimi ambaye hata sikuanzisha mada
 
Alikuwa myahudi. No 2 ways about it. Japo wazee wa kung’ang’ania vitu vya watu watadai alikuwa team mnyaazi😂 jamaa hawa huenda wakadai hata baraba alikuwa mvaa kubadhi😂. Hawanaga aibu wala haya
 
hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.

Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu,ambaye anakubaliki na Dini zote,kuanzia Uyahudi,Ukristo mpaka Uisilamu,na hawa wote ibada zao zimetofautiana.

Je niwapi wanaomfata?


Mimi kwa mtazamo wangu haijatajwa Nabii Ibrahimu (as) ana dini gani, kilichotajwa ndani ya Qur'an ni kwamba Nabii Ibrahimu alikuwa mnyenyekevu/aliyejitupa kwa Allah na hii unaweza kupata katika Qur'an 2:127-128, ambapo amemuomba Allah amfanye awe mnyenyekevu, neno unyenyekevu ndio "Islam" na mtu mnyenyekevu anaitwa "muslim" kwa kiarabu, hivyo popote nabii Ibrahimu anapotajwa ndani ya Qur'an kwa jina la la "Muslim" maana yake ni hiyo kwamba yeye ni mnyenyekevu na hata manabii wote wanabeba sifa hiyo ya kuitwa "Muslimina" yaani wanyenyekevu mbele ya Allah.

Kitu kinacho wachanganya watu ni kuona manabii wameitwa Muslimina na hivyo kusema kwamba wao ni Waisilamu waliofuata dini ya Kiisilamu dini hii iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)-- kitu ambacho sio sahihi kwani Dini hii ya kiisilamu imejengwa katika nguzo 5 na nguzo ya kwanza (shahadatein) ambayo ili uwe muisilamu lazima uitamke katika kila swala (katika kikao cha attahiyyatu) nk, je kama nabii Ibrahimu alikuwa mfuasi wa dini hii (hata kabla haijaanzishwa) alikuwa akitoa hii shahada hii?? je alifunga swaumu hii ya Ramafhani??, kuna maswali mengi kwa wale wanaoshindwa kujua Nabii Ibrahimu anapoitwa Muslim ina maana gani!!.

Hivyo nabi Ibrahimu (as) ni Muslim kwa maana ya unyenyekevu na sio Muslim kwa maana kwamba yeye ni mfuasi wa dini hii ya Kiisilamu dini iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw) ambayo imejengwa katika nguzo tano, na manabii wote wameitwa Muslim kwa maana hiyo ya kuwa wao ni wanyenyekevu mbele ya Allah.
 
Sheikh, tuliza kwanza mzuka! Kwa hiyo unataka kusema Uislamu ulikuwepo hata kabla ya kuzaliwa Mtume wenu Muhammad SAW? Siku zote nilijua yeye Mtume Muhammad ndiye muasisi wa Uislamu!

Maana kwenye Biblia, Ibrahimu anaonekana kuwepo miaka mingi iliyopita! Yaani kabla ya Yesu kuzaliwa karne ya 1 AD, na pia Mtume wenu miaka zaidi ya 500 AD!
Haya ww tuambie Ibrahimu alikuwa dini gani?
 
Alikuwa myahudi. No 2 ways about it. Japo wazee wa kung’ang’ania vitu vya watu watadai alikuwa team mnyaazi[emoji23] jamaa hawa huenda wakadai hata baraba alikuwa mvaa kubadhi[emoji23]. Hawanaga aibu wala haya
Ibrahimu hakuwa myahudi bali alikuwa mkurdi kutoka Iraq.
 
Wakristo wote wanafahamu Ukristo ulianza baada ya Yesu kuja na kwamba agano la kale liliandikwa na watu wa dini ya Uyahudi. Sijui wewe hizi porojo zako na matango pori uliyoandika hapa ulilishwa na nani?!
Kuna kitu huwa tunashindwa kuelewa kuhusu dini, maranyingi Wakristo wamekuwa wakiwakebehi Waislam wasemapo kwamba manabii ama mitume fulani waliokuwepo miaka mingi nyuma kabla ya Uislam ni Waislam. Hamtakiwi kukebehi kuhusu hili maana ndio imani yao na vitabu vyao vimeandika hivi.

Kinachofurahisha Wakristo wao hujiona wako sahihi kusema Manabii hao wlikuwa upande wao wakati Ukristo umekuja baadae sana.

Iko hivi: Wayahudi wanaamini maandiko yao matakatifu (Torah). Wakristo wameandika katika biblia yao takatifu kuhusu Moses na maandiko yake lakini hii haiwezi kuwashawishi Wayahudi waamini kwamba Ukristo ulikuwepo tangu kipindi cha Musa. Vivyo hivyo kwa Waislam, Quran imeandika kuhusu Musa na hata Yesu lakini hiyo haitawafanya Wakristo waamini kwamba Uislam ulikuwepo kabla ya Yesu.

Mkijua hili wala hakuna haja ya kumsema mwenzako wakati hata wewe umefata mfumo huo huo. Wakristo wanaamini Wayahudi walimkataa Yesu na walijutia kwa hilo baada ya kumuua lakini ukweli hadi leo hii Wayahudi hawamuamini Yesu kama messiah. Waislam wanaamini Muhammad ni muendelezo wa mpango wa Mungu kuwaleta wasaidizi wake kueleza utukufu wake lakini Wakristo hawaamini katika hilo.

Anayewaita wenzake wafia dini yeye keshaoza katika dini yake[emoji23]
 
Mimi ninachofahamu hakuwa na dini! Isipokuwa alikuwa ni mtu mkamilifu mbele za Mungu, na hivyo Mwenyezi Mungu kumbariki yeye na ukoo wake.
Una haki ya kuamini hivyo kwa sababu imani yako inakuambia hivyo.

Lakini pia na waislam wana haki ya kuamini kwa mujibu wa imani yao inavyo sema huo ndo unaitwa uhuru wa kuabudu.

Waislam kusema Ibrahim alikuwa muislam haikupunguzii chochote ww mpaka ukereke kwa Ibrahim kuitwa muislam.

Kila mtu ahamini kile anacho amini hakuna haja ya kudhihakiana.
 
Back
Top Bottom