heshima gani ninayeitaka humu mimi nisiye na umaarufu humu kati ya members zaidi ya laki sita? Kwa hiyo unajibu kipuuzi kwa kuwa una jazba. We dini huijui kaa kimyaUnajibiwa kadiri utakavyo kuja ukija kwa hoja utajibiwa kwa hoja ukija kijinga utajibiwa kijinga vile vile ,mtoa mada ameuliza swali kuwa nabii Ibrahimu alikuwa dini gani ww badala ya kujibu swali la mleta mada,unaanza kuwadhihaki waislam kwani mtoa mada kuna sehemu yeyote ametaja waislam?
Unataka upewe heshima wakati ww huna hashima?
Naomba unisaidie kufahamu. Ili uwe muislamu ni lazima ushuhudie kuwa mwenyezi mungu ni mmoja na Muhammad ni mtume wake. Yaani ni lazima utoe shahada.Surah 3 Ali 'Imran, Ayat 67-67
مَا كَانَ اِبۡرٰهِيۡمُ يَهُوۡدِيًّا وَّلَا نَصۡرَانِيًّا وَّ لٰكِنۡ كَانَ حَنِيۡفًا مُّسۡلِمًا ؕ وَمَا كَانَ مِنَ الۡمُشۡرِكِيۡنَ ﴿3:67﴾
(3:67) Abraham was neither a Jew nor a Christian; he was a Muslim, wholly devoted to God.59 And he certainly was not amongst those who associate others with Allah in His divinity.
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
ANAYEPINGA APINGE KWA MAANDIKO.
Hao jamaa mpaka Yesu Kristo huwa wanasema ni wa kwao! Kisa tu aliwahi kuingia kwenye sinagogi la Wayahudi! 😃Wafia dini watakuambia alikuwa muislam, nimenunua mada ngoja nishukiwe vikali na hao wafia dini, nawasubiri kwa hamu tunyukane kihoja
Hao jamaa mpaka Yesu Kristo huwa wanasema ni wa kwao! Kisa tu aliwahi kuingia kwenye sinagogi!
Hao jamaa mpaka Yesu Kristo huwa wanasema ni wa kwao! Kisa tu aliwahi kuingia kwenye sinagogi la Wayahudi!
Sheikh, tuliza kwanza mzuka! Kwa hiyo unataka kusema Uislamu ulikuwepo hata kabla ya kuzaliwa Mtume wenu Muhammad SAW? Siku zote nilijua yeye Mtume Muhammad ndiye muasisi wa Uislamu!Nimesema una mavi kichwani kwa Sababu uliyo yaandika hayana tofauti na mavi.
Suala la waislam kusema Ibrahim ni muislam haikuhusu kwa sababu ndo wanamini hivyo ww ulicho takiwa ni kujibu swali la mleta mada kuwa Ibrahim alikuwa dini fulani kwa mujibu wa dini yenu.
Urokole umekutoa akili umekuwa mpumbavu ndo maana wachungaji wenu wamewageuza kuwa vitega uchumi maana mna akili za kipuuzi.
Mimi simjuzi sana ila uchache wangu wa elimu jibu lako ni kuwa:Naomba unisaidie kufahamu. Ili uwe muislamu ni lazima ushuhudie kuwa mwenyezi mungu ni mmoja na Muhammad ni mtume wake. Yaani ni lazima utoe shahada.
Sasa nafahamu Ibrahimu alikuwepo kabla ya mtume Muhammad. Je, aliisema hii shahada au alifanyaje akawa muislamu? Asante.
Mimi naona wewe ndiyo umeeleza sasa kwa usahihi.Mkuu wakati huo hakukuwepo na Dini. Ila kilichokuepo ni Imani Aidha imani kwa Mungu au kwa Miungu.
Kwa hiyo wakati huo wa Ibrahimu dini haikuepo maana hata yeye kabla ya hapo hakujua Mungu ila alikua akienenda kwa haki na ndio maana Mungu akamtokea na akabarikiwa kwa sababu ya nini? HAKI NA IMANI.
hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.
Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu,ambaye anakubaliki na Dini zote,kuanzia Uyahudi,Ukristo mpaka Uisilamu,na hawa wote ibada zao zimetofautiana.
Je niwapi wanaomfata?
Haya ww tuambie Ibrahimu alikuwa dini gani?Sheikh, tuliza kwanza mzuka! Kwa hiyo unataka kusema Uislamu ulikuwepo hata kabla ya kuzaliwa Mtume wenu Muhammad SAW? Siku zote nilijua yeye Mtume Muhammad ndiye muasisi wa Uislamu!
Maana kwenye Biblia, Ibrahimu anaonekana kuwepo miaka mingi iliyopita! Yaani kabla ya Yesu kuzaliwa karne ya 1 AD, na pia Mtume wenu miaka zaidi ya 500 AD!
Ibrahimu hakuwa myahudi bali alikuwa mkurdi kutoka Iraq.Alikuwa myahudi. No 2 ways about it. Japo wazee wa kung’ang’ania vitu vya watu watadai alikuwa team mnyaazi[emoji23] jamaa hawa huenda wakadai hata baraba alikuwa mvaa kubadhi[emoji23]. Hawanaga aibu wala haya
Mimi ninachofahamu hakuwa na dini! Isipokuwa alikuwa ni mtu mkamilifu mbele za Mungu, na hivyo Mwenyezi Mungu kumbariki yeye na ukoo wake.Haya ww tuambie Ibrahimu alikuwa dini gani?
Kuna kitu huwa tunashindwa kuelewa kuhusu dini, maranyingi Wakristo wamekuwa wakiwakebehi Waislam wasemapo kwamba manabii ama mitume fulani waliokuwepo miaka mingi nyuma kabla ya Uislam ni Waislam. Hamtakiwi kukebehi kuhusu hili maana ndio imani yao na vitabu vyao vimeandika hivi.
Kinachofurahisha Wakristo wao hujiona wako sahihi kusema Manabii hao wlikuwa upande wao wakati Ukristo umekuja baadae sana.
Iko hivi: Wayahudi wanaamini maandiko yao matakatifu (Torah). Wakristo wameandika katika biblia yao takatifu kuhusu Moses na maandiko yake lakini hii haiwezi kuwashawishi Wayahudi waamini kwamba Ukristo ulikuwepo tangu kipindi cha Musa. Vivyo hivyo kwa Waislam, Quran imeandika kuhusu Musa na hata Yesu lakini hiyo haitawafanya Wakristo waamini kwamba Uislam ulikuwepo kabla ya Yesu.
Mkijua hili wala hakuna haja ya kumsema mwenzako wakati hata wewe umefata mfumo huo huo. Wakristo wanaamini Wayahudi walimkataa Yesu na walijutia kwa hilo baada ya kumuua lakini ukweli hadi leo hii Wayahudi hawamuamini Yesu kama messiah. Waislam wanaamini Muhammad ni muendelezo wa mpango wa Mungu kuwaleta wasaidizi wake kueleza utukufu wake lakini Wakristo hawaamini katika hilo.
Anayewaita wenzake wafia dini yeye keshaoza katika dini yake[emoji23]
Una haki ya kuamini hivyo kwa sababu imani yako inakuambia hivyo.Mimi ninachofahamu hakuwa na dini! Isipokuwa alikuwa ni mtu mkamilifu mbele za Mungu, na hivyo Mwenyezi Mungu kumbariki yeye na ukoo wake.
Hakuwa na DINI YOYOTEhili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.
Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu,ambaye anakubaliki na Dini zote,kuanzia Uyahudi,Ukristo mpaka Uisilamu,na hawa wote ibada zao zimetofautiana.
Je niwapi wanaomfata?