Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Mkuu kiranga najua wewe ni mtu wa kumbukumbu Kanisa la Mashahidi wa Yehova walipigwa marufuku na Mwalimu kutokana na Imani yao ya kutoongezewa damu kwa mgonjwa na nk aliekuja kuyaaruusu kufanya shughuli zao ni Rais Mwinyi Mwaka waliopigwa marufuku nimesahau nikikumbuka nitakujuza (kiranga)
Kwa nini unataka kumlazimisha mtu asiyetaka kuongeza damu kwa imani yake aongeze damu?
 
Mitaani makanisa yamekithiri - kuna yanayoongzw na wachngaj, mapasta, walimu, mengne mitume na hata manabii na wkt mwngne utawakuta ktk miktano na wanasiasa wakihudhria rasmi, hawaulizwi. Je, uamuzi huu unatkana na suala la bint kufyatua ule wimbo au kna zaidi?! Kwamba, sasa hivi ukisema "wanatuona nyani" mzaz wko wanamweka ndn!! Kw maana haya makanisa au madhehebu yameongzeka na hayaguswi, au suala hili lina ubaguzi - hususan wa kisiasa? Au ni Mbeya tu ...? Nchi ytu imefika mbali ...dah!
Ni uonevu na ukiritimba wa serikali tu, kama suala ni makanisa ambayo hayana usajili, yako mengi sana.

Na licha ya hilo, serikali haitakiwi kulazimisha makanisa yapate usajili.
 
Mwaka 1967 ndiyo Nyerere aliyapiga marufuku hawa mahayawani wa Mashahidi wa Yehova.

Utakataaje kumuongozea mgonjwa damu kama siyo uhayawani?
Hapana nakumbuka kipindi cha siasa za ujamaa na kujitegemea, liliibukuka kundi fulani sikumbuki vizuri kama ni mashahidi wa Yehova, ambapo wahumini hawakutakiwa kufanya kazi yoyote zaidi ya kuomba tu.
Walinikuu mistari ya Biblia kuwa ndege wa angani hawalimi,hawavuni wala hawapandi lakini wanakula na kushiba.
Kundi hilo likapigwa marufuku.
 
Mchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa "Mnatuona Nyani tu" amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.

View attachment 2766355


================== ==================
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39), baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”, amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kosa la kuendesha huduma ya kiroho bila kibali.

Akizungumza na JamiiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."

Ameongeza "Adhabu aliyofungwa nayo ina faini na kifungo, Hakimu ametoa adhabu ya kifungo bila faini, tunatarajia kukata rufaa Jumatatu (Oktoba 2, 2023)."


=================​
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Serikali inamini wale wavaa majoho ndo wapo karibu sana na Mbingu.

Mahakama inatumika vibaya.

BTW
Mchungaji amepelekwa kufanya injili non stop gerezani.

Haki hakuna nchi hii
 
Natokea pande hizo, ila hayo mapinduzi utayasubiri mpaka ufe tukuzike bila kutokea
1696233791590.png
 
Asante sana serikali kwa kumshtaki mbarikiwa na hatimaye mahakama kumfunga miaka 3.

Nawaomba mchukue hatua hiyo hiyo dhidi ya miskiti isiyo na usajili, kumeibuka baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuikejeli BAKWATA na kuchukua hatua ya kujenga miskiti yao na kuchagua viongozi then wanaanza ku operate.

Ni vizuri miskiti hii yote iliyo jazana kila kona ifungiwe pia.
 
Asante sana serikali kwa kumshtaki mbarikiwa na hatimaye mahakama kumfunga miaka 3.

Nawaomba mchukue hatua hiyo hiyo dhidi ya miskiti isiyo na usajili, kumeibuka baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuikejeli BAKWATA na kuchukua hatua ya kujenga miskiti yao na kuchagua viongozi then wanaanza ku operate.

Ni vizuri miskiti hii yote iliyo jazana kila kona ifungiwe pia.
Mbarikiwa ndie nani??
 
Na yale makelele yao aseee tuige Rwanda..ila boss bandari inakutokea puani🙄
 
kikubwa dini ziache kujiingiza kwenye mambo ya siasa na wanasiasa watuachie mambo yetu ya dini. Watuache tuwaombee ili nchi iwe na amani na wasituibie keki za taifa.
 
Asante sana serikali kwa kumshtaki mbarikiwa na hatimaye mahakama kumfunga miaka 3.

Nawaomba mchukue hatua hiyo hiyo dhidi ya miskiti isiyo na usajili, kumeibuka baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuikejeli BAKWATA na kuchukua hatua ya kujenga miskiti yao na kuchagua viongozi then wanaanza ku operate.

Ni vizuri miskiti hii yote iliyo jazana kila kona ifungiwe pia.
Sawa boss la DP world ila ole wako tukuone tanzania.utakuwa halali yetu
 
Asante sana serikali kwa kumshtaki mbarikiwa na hatimaye mahakama kumfunga miaka 3.

Nawaomba mchukue hatua hiyo hiyo dhidi ya miskiti isiyo na usajili, kumeibuka baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu kuikejeli BAKWATA na kuchukua hatua ya kujenga miskiti yao na kuchagua viongozi then wanaanza ku operate.

Ni vizuri miskiti hii yote iliyo jazana kila kona ifungiwe pia.
Hilo la misikiti tayari walikwisha lifanyia kazi ila hawakupata ushahidi ila kama unao wapelekee.
 
Kama wewe ni kidume kweli, au ndugu zako tokeni barabarani mupaze sauti "Hakuna kutoa adhana kwenye spika" hebu jaribuni muone mkuu., kitakachowakuta mtahadithia, au nenda jiji lenye waislamu wengi Tanzania Darussalaam kama mtatoka salama
 
Haki ya Nani Nimecheka sanaaaa Mpaka Nigongwe na Piki piki kaka…Saa Account yake tena???Unataka Kuidukua??[emoji851][emoji16][emoji16][emoji23][emoji28]
Kama umecheka unastahili kulipwa, naomba acc no yako pia.
 
Back
Top Bottom