Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kama anastahili asiteuliwe kuogopewa kusemwa "...ni sababu ya ileeee hukumu"?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]Baada ya siku kadhaa mbele, utasikia Hakimu aliyetoa hiyo hukumu amekula uteuzi!! Maana hapa ndipo tulipofikia kama Taifa.
Acha tutafika taratibu maan hili litawagharimu!! Kuna yule ambae mchungaji au mtumishi wa MUNGU akimkosoa alikua anawakamata na kuwahoji uraia but mwisho wake unajulikana!! Jifunzeni kwa herode!!Mchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Ukiwaacha waasi hao....basi serikali itakuja kulaumiwa.....Wameua Sisimizi kwa Bunduki
Akikujibu plz nitag [emoji120][emoji1666][emoji2956]Unaweza kuabudu 'roho' ukiwa nyumbani kwako.
Kitendo cha kutenga eneo la pamoja kwa ajili ya huduma sio tu za 'kiroho' tayari mnafanya makutano yanayohitaji ithibati ya ulinzi wa watu wanaokutana.
Kwanini usajili wa nyumba za ibada unafanyika Wizara ya Mambo ya Ndani wakati usajili wa Asasi za Kiraia unafanyika Wizara ya Maendeleo ya Jamii, hali ya kuwa na dini ni miongoni mwa Asasi za Kiraia?
Hakuna dini iliyo juu ya dola....Naona kuna vita ya kidini inatengenezwa na awamu ya sita
Mchungaji aache kutumiwa kisiasa na wale jamaa.......[emoji1787][emoji1787]CCM CHAMA CHA MACHAWA
Uko ndani ya gari halafu unaanzisha ugomvi wa MAWE?!!! [emoji1787][emoji1787]Siku zite iko hivi, Ukiwa Mstaarabu
hata kama una mapungufu watu hukupuuza ila ukijikuta mjanja watu watataka wakuonyeshe kua hujui.
Ukiamua kukosoa wenzio hakikisha uko smart.
Utajuaje kama hii sio version yangu ya Abrahamic Faith..., Yaani Version 2:0 ?!!; Point yangu kubwa hapa tunaweza ku-open a Can of Worms Mtu ashitakiwe kwa kuvunja sheria za nchi ila sio kuomba ruhusa kufanya kile ambacho yeye na wenzake kama yeye wanaona ni sahihi....Hewaaa....
Imani za MIZIMU hazina shida wala tabu....
Ila.....
Hizi ABRAHAMIC FAITH ndizo za kuzidhibiti.....[emoji120]
Wao ni tofauti sana sana na hizo za asili....
Za asili hazina "connection worlwide"....[emoji1787]
BRAINWASHED...Hakuna aliyeshindana na Mungu akashinda.
Tufanyaje?!!!Tusiishie kuwakumbuka tu wapambanaji hawa ..
Mtanaki kusema hivyo na CCM ikie delea kushinda kwa kishindoKama kweli ,hizi ni dalili za mwisho za utawala wa ccm
[emoji1787][emoji1787][emoji2788][emoji120][emoji106][emoji109]Mtanaki kusema hivyo na CCM ikie delea kushinda kwa kishindo
Vibali vivunje haki za kikatiba na kibinadamu ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
Unaleta fikra isiyo na mashiko.....
Kila eneo la kibiashara linahitajika vibali....
Wahandisi ,matabibu wa kizungu na KIENYEJI ,wanasheria ,wahasibu.....wote hawa vibali vinawahusu....yaani isiwe tu kwa nyumba za ibada ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
Fikra ya ajabu kabisa
Je, anayeendesha kilabu ya pombe au madanguro bila kibali anafungwa miaka mingapi?Mchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39), baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Manyaji”, amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kosa la kuendesha huduma ya kiroho bila kibali.
Akizungumza na JamiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."
Ameongeza "Adhabu aliyofungwa nayo ina faini na kifungo, Hakimu ametoa adhabu ya kifungo bila faini, tunatarajia kukata rufaa Jumatatu (Oktoba 2, 2023)."
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
=================
Pilato katika ubora wake.HAKIMU GANI HUYO? aTANYONGWA NA MUNGU
Ngoja Twende,Mtanaki kusema hivyo na CCM ikie delea kushinda kwa kishindo