Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Baada ya siku kadhaa mbele, utasikia Hakimu aliyetoa hiyo hukumu amekula uteuzi!! Maana hapa ndipo tulipofikia kama Taifa.
Kama anastahili asiteuliwe kuogopewa kusemwa "...ni sababu ya ileeee hukumu"?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Acha tutafika taratibu maan hili litawagharimu!! Kuna yule ambae mchungaji au mtumishi wa MUNGU akimkosoa alikua anawakamata na kuwahoji uraia but mwisho wake unajulikana!! Jifunzeni kwa herode!!
 
Akikujibu plz nitag [emoji120][emoji1666][emoji2956]
 
Siku zite iko hivi, Ukiwa Mstaarabu
hata kama una mapungufu watu hukupuuza ila ukijikuta mjanja watu watataka wakuonyeshe kua hujui.
Ukiamua kukosoa wenzio hakikisha uko smart.
Uko ndani ya gari halafu unaanzisha ugomvi wa MAWE?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
Hewaaa....

Imani za MIZIMU hazina shida wala tabu....

Ila.....

Hizi ABRAHAMIC FAITH ndizo za kuzidhibiti.....[emoji120]

Wao ni tofauti sana sana na hizo za asili....

Za asili hazina "connection worlwide"....[emoji1787]
Utajuaje kama hii sio version yangu ya Abrahamic Faith..., Yaani Version 2:0 ?!!; Point yangu kubwa hapa tunaweza ku-open a Can of Worms Mtu ashitakiwe kwa kuvunja sheria za nchi ila sio kuomba ruhusa kufanya kile ambacho yeye na wenzake kama yeye wanaona ni sahihi....
 

Usichoelewa ni kwamba, biashara haina protection kama ya "separation of state and religion".

Hao wahandisi, matabibu, waganga wa kienyeji, wanasheria, wahasibu etc, wote hawana protection ya "separation of state and religion"

Dini ina hiyo protection.

Ndiyo maana biashara inatozwa kodi, dini haitozwi kodi.

Nyerere alikuwa anaelezea hoja ya serikali kujua idadi ya Watanzania kwa mujibu wa dini zao, akasema serikali haihitaji kujua watu kwa dini zao, kama mtu anataka kujua idaid hiyo aende kwenye nyumba za ibada.

Alielewa separation of state and religion.

Sasa, hatuoni hizi habari za kusajili nyumba za ibada ni kurudi kule kule alikokataa Nyerere kwenye habari ya serikali kujiingiza katika dini?

Kwa nini serikali ilazimishe kusajili nyumba za ibada?
 
Mkoa huu wa Mbeya ukikamatawachungaji na waganga wasio na vibali gereza lipi litatosha?
 
Je, anayeendesha kilabu ya pombe au madanguro bila kibali anafungwa miaka mingapi?
 
Ukweli ni kwamba wameshindwa kuzivumilia spana za Mchungaji.
 
mbarikiwa ameyataka mwenyewe, Mungu alimwita awe mwimbaji, na alikuwa na nyimbo nzuri, yeye ameng'ang'ania kuwa mchungaji ameacha uimbaji. sidhani kama Mungu yu pamoja naye kwenye hilo, na hata akiwa naye basi for a purpose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…