Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Sheria za wapi hizi? Kwamba ukiwa mpole hata kama huna vibali unaruhusiwa kufanya kazi, haiwezekani mtu aoperate miaka mitatu ndo wahusika wagundue Hana vibali, wanafanya kazi Gani sasa?

Au ndo Yale ya the cask kuonyesha bango la kupinga dp world... Kesho yake halmashauri na tra wakafurika bar kuwafungia kua hawana vibali?
Watanzania ni wazito...

Serikali imeamua kuishi vyema na raia wake "wazito".....

TATIZO hutokea pale tu wanapovuka mipaka.....

Kwanini UPENDE KUONGEA MBELE ZA WATU ilihali unanuka mdomo "kigonjwa" ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu mwamba, huwa namsikiliza tiktok na wale wakina mama wanaomzunguka asilimia kubwa huwa ni kupambana na serikali na kuikosoa kuliko kuikosoa serikali ya ufalme wa ibirisi na hila zake.

Kwa jinsi alivyomkakamavu, naona kama hiyo qdhabu haitafua dafu kwake. Akitoka ataendeleza harakati zake tu.
.....mbwa juu ya paa amepandishwa....

Za ndani zinasema ,mwamba ANATUMIWA NA WANASIASA wa upinzani.....

#Karibu Komoni Hapa Sondombwa [emoji120]
 
Serikali inatumia vibali kufanya censorship.

Hapa tunaona kabisa habari ya vibali imekuja baada ya mtoto wa mchungaji kutoa wimbo ambao serikali haikuupenda.

Serikali haihitaji usajili ili kudhibiti jinai, mbona mitaani kuna nyumba kibao hazina usajili na serikali bado inaweza kudhibiti jinai?

Hawa wachungaji wakifanya jinai, wsshitakiwe, lakini tusilazimishe vibali, vinavunja haki za kikatiba na za kibinadamu.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Vibali vivunje haki za kikatiba na kibinadamu ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Unaleta fikra isiyo na mashiko.....

Kila eneo la kibiashara linahitajika vibali....

Wahandisi ,matabibu wa kizungu na KIENYEJI ,wanasheria ,wahasibu.....wote hawa vibali vinawahusu....yaani isiwe tu kwa nyumba za ibada ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Fikra ya ajabu kabisa
 
AView attachment 2766384
Jesus Christ he is crying, for his servant mwakipesile soon he will do something. Aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo yake nae atavunjika ghafla Wala hatapata dawa.
Ni hayo tu waheshimiwa.
Tawala na hayo mambo wapi na wapi ? !!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Serikali yetu ni TAKATIFU....haina dini.....
 
Asiye na imani ya dini ndiye amekuwa mkweli na mpenda haki kuliko wenye dini zao wanaofunga wenye dini wenzao.
Samia ana dini...

Rais hana DINI.....

#Never give wisdom to unworthy because it is unjust to the knowledgeable [emoji120]
 
Busara ingekuwa ni kulifunga kanisa na hio huduma kufungwa ,na sio mchungaji kufungwa
Ila kwa vile busara yao imeamua hivyo basi tuwape pongezi kwani wamejiandaa kwa matokeo yoyote dhidi ya hio hukumu.
...maneno yako ya mwisho yalisemwa kule Zanzibar baada ya UAMSHO kutiwa ndani.....hakikutokea chochote....chochote....chochote kile.....

Mtakoma lini KUFIKIRI kwa kutumia viungo vyengine badala ya BONGO?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
kwa kweli swala hili serikali imekosea pakubwa sana nitamkumbuka kwa nyimbo nzuri[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2766376
Ni mwimbaji mzuri sana. Mpaka natamani kama angeachana mazima na hizi hekaheka za kisiasa na mapambano na watumishi wenzie akajikita kwenye kuutangaza ufalme wa Mungu. Angefika mbali sana kiutumishi ila kwa sasa CCM ninavyowafahamu hakuna rangi ambayo ataacha kuona!
 
Hakuna mahali nyumba za ibada zitaanzishwa bila kuhakikisha uthibitisho wa kitakachukuwa kinafanyika kwenye nyumba hizo.

Kama wewe na jirani yako mtahitaji kutambulika kama waanzilishi wa Itikadi/falsafa fulani na kuhitaji kuungwa mkono na jamii yenu kwanini msimtambulike na kulindwa kisheria?
"......kwa nini msitambulike na kulindwa kisheria....".

UMEMALIZA [emoji2956][emoji1732][emoji109][emoji106][emoji7][emoji1720][emoji120]
 
Furahia Sana,Cheka Sana ndugu maana naona hii hukumu imekufurahisha sana
Hakika....

Nilifurahi "mjomba wangu" aitwaye A.......I alipofungwa miongoni mwa wale masheikh wa UAMSHO....na nilisikitika mno siku mh.Rais SSH alipowaacha HURU baada ya ile miaka 9......
 
Back
Top Bottom