Hufati ndoto za baba unafata zako kitendo cha mzee kuchomoka halafu mtoto pekee unaemjua ni young d .na young d ni maarufu kuliko baba yake inatosha kusema young d ni kijana wa mfano na mtoto bora.pole zake super sta young dKwa hiyo dogo akashindwa kufuata nyayo za mdingi akaamua kuwa mfokafoka!😥
Hawa ma-young wapo wengi young killer ,young d young mzodoki hata huwezi waelewa!?
Ukweli ni kuwa mtoto kutoka familia bora anaweza kuafford kufuata passion yake.Kuna wasanii wengi tu wamekulia familia mambo safii na baba zao watu smart kiakili .
Wema sepetu. Baba yake kashika vyeo kibao vikubwa mpaka ubalozi.
Irene uwoya baba yake rubani
Cyril kamikaze mama yake alikuwa mkurugenzi.
Young D baba yake generali wa jwtz
TUNDA wa whozu baba yake sabasita ni askari sniper mwenye heshima kubwa ndani ya jeshi la polisi. Na hata majambazi wanamuogopa.
Shaaa wa master jay. Baba yake professa udsm
Master jay producer baba yake alikuwa mkurugenz Tanesco.
Na wengine kibao sijawataja.
Wazazi mambo safi ni open minded wana tabia ya kuwaacha watoto wao wafanye wanachotaka..
Yule jeshi asingeiweza.Kwa hiyo dogo akashindwa kufuata nyayo za mdingi akaamua kuwa mfokafoka![emoji26]
Amekujibu kisayansi sana hujaelewa tuKinacho ongelewa sio hicho,umeulizwa ,una huakika Ni manzi
Mitattoo si ya juzi tuNa mitattoo hiyo aende wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!!Kinacho waumiza roho kina Thomas ni hako ka avatar kwa huyo mcute blac beauty… ila mbona hafananii na kumiliki dushelele! We ni pisi bhana…
Itakua mie Robboti km sio alien. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado mi mwenyewe nipo njia panda kama sio chaka kabsa embu tuache masihara cocastic tuchane hapa we ni wa design gani au robort kama huyu Sophia cheers [emoji1635] kiaina View attachment 2462363
Una uhakika??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alaf ipo single hii izamie pm mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear sasa niwe na nomaa hapa kwa keyboard jaman, aaah sio shida zang eti.Sema huyu cocastic hanaga noma na mtu, ye kicheko tu
Aah! Wapi..!!! Nimegundua we sio robort wala sio dume kama sie na hauna namna gani inayoning’inia chini ya miguu yako wala nini 🤣🤣🤣 Although let me take this chance to congratulate you for what you’ve been carried dah! Ila jamaa amekuweza hapo ndipo ujanja wenu unapoishia kitumbo ndwii 🤣🤣🤣 Sema endelea hivohivo mtu wangu usije ukaanza kunchukia ukan’tema mate bure na ikifika August mwezi uliosema utakua ndio sahihi kushusha usisahu kumpa jina kama langu 🤣🤣🤣 am kidding cocastic binti mwenye madaha yake na mlibwende kwelikweli...!!Itakua mie Robboti km sio alien. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usijar ankoli, hebu nichagulie jina zuri la kumpa 1st born wanguuu.Aah! Wapi..!!! Nimegundua we sio robort wala sio dume kama sie na hauna namna gani inayoning’inia chini ya miguu yako wala nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Although let me take this chance to congratulate you for what you’ve been carried dah! Ila jamaa amekuweza hapo ndipo ujanja wenu unapoishia kitumbo ndwii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema endelea hivohivo mtu wangu usije ukaanza kunchukia ukan’tema mate bure na ikifika August mwezi uliosema utakua ndio sahihi kushusha usisahu kumpa jina kama langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] am kidding cocastic binti mwenye madaha yake na mlibwende kwelikweli...!!
Dah! Nimejishauri sana na kuhofia hawa walimwengu wa sasa wanaweza anza kuwa na maoni na hisia tofauti juu ya hili kwakua najua kamwe mswahili haachi asili...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usijar ankoli, hebu nichagulie jina zuri la kumpa 1st born wanguuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
AtticusDah! Nimejishauri sana na kuhofia hawa walimwengu wa sasa wanaweza anza kuwa na maoni na hisia tofauti juu ya hili kwakua najua kamwe mswahili haachi asili...
Lkn kwa sababu ni hiari yako basi sawa yapo mengi ila hapa nimeweka Top10 ya majina ya kiume na ya kike, Wewe angalia utakalo pendezwa nalo na pia mshirikishe baba mtoto kwa suggestions nyingine huenda anayotofauti na yenye kuvutia zaidi.
View attachment 2463419
Seriously?Dah! Nimejishauri sana na kuhofia hawa walimwengu wa sasa wanaweza anza kuwa na maoni na hisia tofauti juu ya hili kwakua najua kamwe mswahili haachi asili...
Lkn kwa sababu ni hiari yako basi sawa yapo mengi ila hapa nimeweka Top10 ya majina ya kiume na ya kike, Wewe angalia utakalo pendezwa nalo na pia mshirikishe baba mtoto kwa suggestions nyingine huenda anayotofauti na yenye kuvutia zaidi.
View attachment 2463419