Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu manzi cocastic katoa boko hapoMsodoki kapatwa na balaa gani tena?
Inawezekana nimejaribu kucheki baadhi ya miandiko yake ni manzi tena inaonekana pisi flani hivi yenye minato ya twiga au pundamilia King Kong III vipi mzee mbona kama umejaa upepo ghafla hivi unanyemelea hapo nini?
Msodoki yupi tena?
Tuishie hapo ,ngoja nisikilize wimbo wa Milima ya Kwetu By Eddy Sheggy(Shakaza).Inawezekana nimejaribu kucheki baadhi ya miandiko yake ni manzi tena inaonekana pisi flani hivi yenye minato ya twiga au pundamilia King Kong III vipi mzee mbona kama umejaa upepo ghafla hivi unanyemelea hapo nini?
Mwache aingie kingi
Mkuu Young Killer na Msodoki ni mtu mmoja.Hawa ma-young wapo wengi young killer ,young d young mzodoki hata huwezi waelewa!?
Rip mwambaView attachment 2461001
Brigedia Jenerali (Dokta) Robinson Mboli Mwanjela aliwahi kuhudumu kama mkuu wa Chuo cha Kijeshi cha Tiba - Lugalo.
Taarifa za kufariki kwake zimethibitishwa na mtoto wake David almaaruufu Young Dee aliepost msiba huo kwenye status yake instagram.
Umemix
Young Lunya.Mkuu Young Killer na Msodoki ni mtu mmoja.
Ila tendwe taratibu hatua kwa hatua hapa inaonyesha wanaume wote tumejua na tunafahamu tofauti kati ya young killer na young D ambapo hata nyimbo zao nyingi zinasikilizwa na sisi wanaume kwa hiyo kwa logic hii huyo manzi alikosea kwakua sio rahisi kuwa tofautisha haraka hawa marapa wa kizazi kipya.Tuishie hapo ,ngoja nisikilize wimbo wa Milima ya Kwetu By Eddy Sheggy(Shakaza).
Hata siyo manzi huyu