TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Nisamehe sana baba ,wakati ule nilikuwa bado mdogo sikujuwa jambo lolote!
Wakati tunakuwa Mimi na ndugu zangu tulikuta mzee (baba) ameacha na mama,binafsi kwakuwa nilikuwa Nina shinda na mama yangu mara zote,alikuwa akiniambia mambo mengi ya ovyo kuhusu Baba yangu
Baba yangu yeye hajawahi kabisa kuniambia jambo lolote kuhusu mama yangu pamoja na Kuwa karibu naye!,Mwanzo kabla sijakuwa na ufahamu mkubwa nilidhani Baba yangu ni mwenye makosa lakini baada ya Kuwa mtu mzima na kuingia kwenye mahusiano na kupata watoto ndipo nimeelewa ya kwamba Baba yangu hakuwa na kosa,kumbe tatizo lilikuwa Kwa Bi mkubwa (mama).
Yaani mambo yote aliyokuwa akiniambia mama nimegundua ilikuwa ni uongo,zilikuwa njama na hila za mama ili tumchukie mzee,baada ya kuishi na mwanamke ndiyo nimekuja kugundua hili jambo !
Eeeh Baba yangu nisamehe!
Haupo Duniani lakini maneno yako bado nayakumbuka ule mwaka 1997,uliniambia ya kwamba "Wanawake Duniani wapo Kutuongezea matatizo siyo kupunguza matatizo "😭
Rest in peace dady!
Wakati tunakuwa Mimi na ndugu zangu tulikuta mzee (baba) ameacha na mama,binafsi kwakuwa nilikuwa Nina shinda na mama yangu mara zote,alikuwa akiniambia mambo mengi ya ovyo kuhusu Baba yangu
Baba yangu yeye hajawahi kabisa kuniambia jambo lolote kuhusu mama yangu pamoja na Kuwa karibu naye!,Mwanzo kabla sijakuwa na ufahamu mkubwa nilidhani Baba yangu ni mwenye makosa lakini baada ya Kuwa mtu mzima na kuingia kwenye mahusiano na kupata watoto ndipo nimeelewa ya kwamba Baba yangu hakuwa na kosa,kumbe tatizo lilikuwa Kwa Bi mkubwa (mama).
Yaani mambo yote aliyokuwa akiniambia mama nimegundua ilikuwa ni uongo,zilikuwa njama na hila za mama ili tumchukie mzee,baada ya kuishi na mwanamke ndiyo nimekuja kugundua hili jambo !
Eeeh Baba yangu nisamehe!
Haupo Duniani lakini maneno yako bado nayakumbuka ule mwaka 1997,uliniambia ya kwamba "Wanawake Duniani wapo Kutuongezea matatizo siyo kupunguza matatizo "😭
Rest in peace dady!