Baba yangu mzazi amepangisha chumba changu

Baba yangu mzazi amepangisha chumba changu

Fujo gani? Si mwanae na hapo si kwao kwani ni sheria gani kifungu kipi kinaeleza ukomo wa umri wa mtu kutoka kwao
Nyumbani ni nyumbani.
kwa hiyoo wew ukiondoka kwenu baba yako chumba chake ulichokwa unaishia kibaki wazi tu???
 
chumba chako ulijenga? icho ni chumba milk ya dingi, acha umama.
 
Fanya kitu kimoja,

Hebu mwambie dingi ako akupe hiyo kodi ya hicho chumba.
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.

Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.

Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Safi sanaa mzee namuunga mkono kapambane Kwa hasira you will thank your father later 😊😊😊☺️☺️
 
Huyu msenge atamuua baba yake huyu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Baba yangu kanifukuza, Mara kapangisha chumba changu, Mara kauza nyumba kaninyima mgao, yote ilimradi kuanzisha Uzi, hivi mtu ujisikii vibaya kumuongelea mzazi wako ovyo kwa Visa vya kutunga, watu tupo tofauti kweli.
 
Uungwana unahitajika hizo kodi za mia tatu kwa siku si chochote bora kijana akae kwao
Alafu mwisho wa mwezi utamtumia hela za matumizi eti??? yani baba yako akulee toka upo tumboni mpaka ufike miaka 45 anafikiria kuhusu wew utakula nin na kulala wapi?? labda umkute mzee mpumbavuu miaka 45 inabdi uwe msaada kwa baba yako sio kuleta huo ujinga
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.

Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.

Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Pumbavu zee la miaka 48 linajiita kijana linataka kulelewa na wazazi wakati na lenyewe lina mtoto.
Mtoto analelewa na nani?
Mzee fukuza hilo zee linalojiita kijana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi comment za huu uzi [emoji119][emoji119].
Pole sana mleta uzi maana watu hawataki huruma wanakubonda na mawe tu.
 
Yapo sana haya mambo siunaona ukosefu wa ajira limekuwa Janga kubwa kwaiyo tuishi hivyo wao wapinge tu et chai
Acha kumtia ujinga..kwa umri wake na kama alivyosema ana degree alitakiwa aingie kwenye soko la ajira mapema 2000s...kipindi hicho hakukuwa na graduate wengi na ajira zilikuwa nyingi hata bila hiyo degree
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.

Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.

Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.

Kilicho baki mkuu uza tu mtandao pendwa utaishi vizur mjini
 
Alafu mwisho wa mwezi utamtumia hela za matumizi eti??? yani baba yako akulee toka upo tumboni mpaka ufike miaka 45 anafikiria kuhusu wew utakula nin na kulala wapi?? labda umkute mzee mpumbavuu miaka 45 inabdi uwe msaada kwa baba yako sio kuleta huo ujinga
Naam mkuu well said huko sahihi kabisa kumsaidia mzazi aijalishi kijana anaishi wapi anaweza akaishi nyumbani na akawa ndio msaada mkubwa mpaka mzazi ataki atoke[emoji16]

Kuna watu kibao wanaishi makwao lakini ndio the top sijui unaelewa mkuu

Kama utakuwa muelewa tutakubaliana nikisema kuishi nyumbani sio kwamba mtu kashindwa maisha bali ni maamuzi yake mwenyewe au ya wazazi wake.

Nyumbani ni nyumbani.
 
Acha kumtia ujinga..kwa umri wake na kama alivyosema ana degree alitakiwa aingie kwenye soko la ajira mapema 2000s...kipindi hicho hakukuwa na graduate wengi na ajira zilikuwa nyingi hata bila hiyo degree
Mpaji ni MUNGU wakati wake wa kupata aujafika.
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.

Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.

Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Huyu baba yako ni mpuuzi,yaani chumba chako cha Mabibo relini kapangisha mtu mwingine?
Ningelikuwa ni mimi pange chimbika maana huo umri wako 48 bado ni mdogo sana hupaswi kujitegemea,inatakiwa uwe chini ya uangalizi wa wazazi tena ufuliwe nguo kabisa.
 
Back
Top Bottom