Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Yapo sana haya mambo siunaona ukosefu wa ajira limekuwa Janga kubwa kwaiyo tuishi hivyo wao wapinge tu et chai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umetishaa
Halafu Kuna watu wanafikiri ni chai, hawajui haya mambo yapo
kwa hiyoo wew ukiondoka kwenu baba yako chumba chake ulichokwa unaishia kibaki wazi tu???Fujo gani? Si mwanae na hapo si kwao kwani ni sheria gani kifungu kipi kinaeleza ukomo wa umri wa mtu kutoka kwao
Nyumbani ni nyumbani.
SafiNjoo geto hapa
Uungwana unahitajika hizo kodi za mia tatu kwa siku si chochote bora kijana akae kwaokwa hiyoo wew ukiondoka kwenu baba yako chumba chake ulichokwa unaishia kibaki wazi tu???
Safi sanaa mzee namuunga mkono kapambane Kwa hasira you will thank your father later 😊😊😊☺️☺️Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.
Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.
Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.
Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.
Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?
Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.
Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.
Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Alafu mwisho wa mwezi utamtumia hela za matumizi eti??? yani baba yako akulee toka upo tumboni mpaka ufike miaka 45 anafikiria kuhusu wew utakula nin na kulala wapi?? labda umkute mzee mpumbavuu miaka 45 inabdi uwe msaada kwa baba yako sio kuleta huo ujingaUungwana unahitajika hizo kodi za mia tatu kwa siku si chochote bora kijana akae kwao
Pumbavu zee la miaka 48 linajiita kijana linataka kulelewa na wazazi wakati na lenyewe lina mtoto.Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.
Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.
Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.
Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.
Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?
Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.
Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.
Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Classmate wako huyoNjoo geto hapa
Acha kumtia ujinga..kwa umri wake na kama alivyosema ana degree alitakiwa aingie kwenye soko la ajira mapema 2000s...kipindi hicho hakukuwa na graduate wengi na ajira zilikuwa nyingi hata bila hiyo degreeYapo sana haya mambo siunaona ukosefu wa ajira limekuwa Janga kubwa kwaiyo tuishi hivyo wao wapinge tu et chai
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.
Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.
Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.
Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.
Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?
Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.
Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.
Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Kama kutakuwa na chochote.Huna haki yoyote kwa Sasa
Umeshapita miaka 18 hivyo sio jukumi lake kisheria.
Haki utaipata akifa
Naam mkuu well said huko sahihi kabisa kumsaidia mzazi aijalishi kijana anaishi wapi anaweza akaishi nyumbani na akawa ndio msaada mkubwa mpaka mzazi ataki atoke[emoji16]Alafu mwisho wa mwezi utamtumia hela za matumizi eti??? yani baba yako akulee toka upo tumboni mpaka ufike miaka 45 anafikiria kuhusu wew utakula nin na kulala wapi?? labda umkute mzee mpumbavuu miaka 45 inabdi uwe msaada kwa baba yako sio kuleta huo ujinga
Mpaji ni MUNGU wakati wake wa kupata aujafika.Acha kumtia ujinga..kwa umri wake na kama alivyosema ana degree alitakiwa aingie kwenye soko la ajira mapema 2000s...kipindi hicho hakukuwa na graduate wengi na ajira zilikuwa nyingi hata bila hiyo degree
Huyu baba yako ni mpuuzi,yaani chumba chako cha Mabibo relini kapangisha mtu mwingine?Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.
Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.
Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.
Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.
Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?
Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.
Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.
Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.