Baba yangu mzazi amepangisha chumba changu

Ha ha ha !
Nimeanza kusoma tu, nikacheka kwa nguvu.
Ati kijana wa miaka 48, zee zima unamtegemea babaako, yeye ana miaka mingapi hadi akupe uji kwa kijiko cha kimaisha.
 
Mimi nimeomba ushauri badala yake naanza kushambuliwa, nilicho gundua watu wa JamaiiForum ni wivu tuu umewajaa kabisa, Unakuta jiru lipo dar es salaam limepanga ila likisikia sisi wazazi wetu wana nyumba linaanza uona wivu na kuanza kutukana na kutoa maneno ya kashfa
 
Kama unakaa kwa wazazi na una uwezo wa kuwalisha, unashindwa kupanga ili uwe huru zaidi? Mf. Ukioa ukiwa kwa wazazi, ugomvi na mawifi utaweza?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…