Babati: Viongozi BAVICHA Taifa wakamatwa na Jeshi la Polisi kwa kufanya mkusanyiko usio na kibali

Babati: Viongozi BAVICHA Taifa wakamatwa na Jeshi la Polisi kwa kufanya mkusanyiko usio na kibali

Tulia dawa ipenye vizuri wewe zuzu na ndumilakuwili wa siasa, Mama anaupiga mwingi na tunampatia tena mi5, hutaki saga chupa unywe ufe [emoji28]
Kama hawatajirekebisha mi naona ccm itawale tu kadri iwezekanavyo. Hakuna chama cha upinzani hapo ni wale wanaovaa ngozi ya chui mbele ya wajumbe / wananchi ila ndani yao ni kama fisi warohoroho tu.
 
Back
Top Bottom