Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Pambalu kwao ni babati? Mbona jezi za chama kazipigilia na wenzie? Hapo ni familia au chama?
Mtanzania ana haki ya kwenda popote na kukutana na yoyote ndani ya mipaka ya Tanzania. Unaposema babati ni kwao unamaanisha nini?