Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

Aisee... So beautiful. Huyu dada Mungu ambariki.
 
Hapa ndipo kina utata

Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.

Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!

Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?
 
Wish them all the best..




















Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Wish them all the best..




















Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Amepata tiba au amekula harua

Mkuu vumbi la Kongo

Halafu ukiwa na pesa nguvu za kiume zinakuja zenyewe

Huna pesa hamu na nguvu za kiume unatoa wapi

Ishu ukiwa huna pesa unatengeneza mfadhaiko aka stress mwisho nguvu zinaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…