chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Mie nipo wa piliNaomba niwe wa kwanza kabla ya kusoma
Hahahahaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huyo mwenye maklio makubwa ni mwanaume kutoka kolomije?
dooh!! we mbona umepanik? hivi umeelewa hata nikichocomment?Mtaondoka nyie
mna mkataba na Mungu
nonsense
lakini Studio kubwa kama ile kukosa CCTV Camera ni udhaifu wa hali ya chini kabisa...
Anyway Wasimuue tu huko aliko...