Punguza wenge mkuu, kunywa maji mengi..!Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
Kilaza wewe,kwaiyo hela haziitajiki Tena!!!??Nani anatembea na hela? Wakati miamala ya mpesa ipo
Usituharibie pesa yetu! Hakuna tija katika hilo !Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Mkuu ni wazo la babu tale mbona hijamctrditNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Umerogwa wewe siyo bureeeNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Ukiona hivyo mleta mada anatafuta teuzidah...nchi hii naipa pole. Jinsia yake tu ndicho cha maana ulichoona hata awekwe kwenye sarafu.
Huyu jamaa huwaga ni mjinga wa kupindukia ni aibu kwa taifa kuwa na mbunge wa namna hii wakati wasomi wanaostahili hiyo nafasi wapo wengi wa kukava nafasi!Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
us tu hadi tupate mtu mwenye kustahii kuwekwa kwenye fedha yetu.Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Samia angekuwa skillful na calliber ya uongozi kama Chancellor Makkel wa Ujerumani , sijui ingekuwaje , maana kwa sasa anapuyanga puyanga lakini bado anapewa sifa kedekedeNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Ndio sababu wizara ya ulinzi ilikaa wazi bila waziri mpaka akateuwa mtu nje ya hawa maboya kuja kumpa uwaziri.Eti hawa ndiyo wabunge wa CCM [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama akili za watanzania ndizo zinawaza hivi.. BORA TOZO IRUDI 100%.
Hivi kua mwanamke ni kigezo cha kua Rais??
Haya basi tuache hilo...NI WAPI, LINI, KATIKA MAISHA YA SAMIA SULUHU, ALIWAH KUA MWANAMKE IMARA HODARI MCHAPAKAZI ,IWE KISIASA AU KIUTENDAJI TU ALIKOPITIA.
NA WATU WAKAMSEMA " HUYU MAMA TUMEPATA".
SIBORA HATA AKINA UMMY, DOROTHY GWAJIMA ( AMBAYE HISTORIA YAKE KAMA DAKTARI INAJIELEZA WAZIWAZI)
Huyo tale aache ujinga, sasa bahati gani? Kwani raisi akiwa mwanamke au mwanaume kunakuwa na tofauti gani kwa wananchi?Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Babu Tale kishapiga ramli baada ya miaka 50?Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
UmbumbumbuNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Sio akili za watanzania. Hizo ni akili za babu tale.Kama akili za watanzania ndizo zinawaza hivi.. BORA TOZO IRUDI 100%.
Hivi kua mwanamke ni kigezo cha kua Rais??
Haya basi tuache hilo...NI WAPI, LINI, KATIKA MAISHA YA SAMIA SULUHU, ALIWAH KUA MWANAMKE IMARA HODARI MCHAPAKAZI ,IWE KISIASA AU KIUTENDAJI TU ALIKOPITIA.
NA WATU WAKAMSEMA " HUYU MAMA TUMEPATA".
SIBORA HATA AKINA UMMY, DOROTHY GWAJIMA ( AMBAYE HISTORIA YAKE KAMA DAKTARI INAJIELEZA WAZIWAZI)
Jamani mbona mtoa mada kasema hayo mawazo sio yake ni ya BABU TALE MBUNGE WA MORO HUKONimetafakari post yake naona tozo iendelee mpaka akili zirudi. Kizaz cha kijinga sana. Na huyo mtaani kwao unakuta ni kiongoz