Babu Tale: Nashauri itengenezwe Fedha yenye sura ya Rais Samia

Babu Tale: Nashauri itengenezwe Fedha yenye sura ya Rais Samia

Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana, kuna muda najiuliza tuna laana gani kama taifa, hiyo picha ikishawekwa kwenye pesa itamsaidia nini mwananchi aliyeko kijijini hana maji, umeme, barabara mbovu, ukosefu wa dawa kwenye vituo vya afya...nk. Viongozi wameshindwa kutumia vichwa vyao kufikiri na badala yake wanatumia matumbo.
 
Huyu panapo majaaliwq nitaenda kulichukua lile jimbo, maana halijawahi kubahatika kuwa na mtu serious.

#Mama 2025
 
Hao ndo wakikaa bungeni wanasema wasomi na maprofesa wa Tanzania hamna kitu, bora sisi darasa la saba....[emoji1][emoji1]

Haya kiko wapi sasa. Kitakacho nishangaza ni kuona huyu kiumbe anarud bungeni 2025.
Nani amrudishe 2025 hawataamini kua wao ni wepesi siku zote,ccm hawajawahi kushinda bila kuiba kura
 
Back
Top Bottom