Anabusu kware badala ya kubusu mtego ulionasa kwaredah...nchi hii naipa pole. Jinsia yake tu ndicho cha maana ulichoona hata awekwe kwenye sarafu....uwe na adabu, kilichomfanya Samia awe rais si jinsia yake.
It will take centuaries to get his replica"......MTU AKIKUSHAURI JAMBO LA KIPUMBAVU, AKIJUWA KUWA NI JAMBO LA KIPUMBAVU, NA AKIJUA KUWA WEWE ANAYEKUSHAURI SIO MPUMBAVU, HALAFU UKALIKUBALI,......ANAKUDHARAU.......". - Mwl. Julius Kambarage Nyerere - Mbeya, 1995.
Babu Tale,namuona akicheza kete za kuteuliwa uwaziri.Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Hana qualificationBabu Tale,namuona akicheza kete za kuteuliwa uwaziri.
kwamba jinsia yake ndiyo imemuwezesha kuwa rais? like seriously? kichwa chako ni kizima kweli wewe au hujui uzito wa kauli hiyo?
huna adabu tu kwa rais wako.Nimekwambia vizuri tu rejea hotuba zake, mbona unakaza fuvu kwa hisia zako?
Mjane mpumbavu huwa anaropoka tu,shida ni ubunge wa kulogaNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
[emoji1][emoji1]Raisi wa hovyo kuwahi kutokea
[emoji1][emoji1]
Hao ndo wakikaa bungeni wanasema wasomi na maprofesa wa Tanzania hamna kitu, bora sisi darasa la saba....[emoji1][emoji1]Mjane mpumbavu huwa anaropoka tu,shida ni ubunge wa kuloga
Hao ndiyo akina babu Tale.poleni wapiga Kura.dah...nchi hii naipa pole. Jinsia yake tu ndicho cha maana ulichoona hata awekwe kwenye sarafu....uwe na adabu, kilichomfanya Samia awe rais si jinsia yake.
Hata asipowafaa hamna kitu mtafanya! Round ijayo ni Makamba ama Wa Msoga[emoji1][emoji1]
Mkuuu punguza ukali wa maneno basi.
Any way mm nadhani tumwache mama atuvushw mpaka 2025. Then baada ya hapo ndo tujue nani anatufaa.
Masihara hayo