Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Mkanganyiko wa maelezo yao unazidi kuleta tashwishwi. Bora wangebaki na msimamo ule ule wa awali, kwamba kweli Kuna vitu viliendelea lakini sio halali Kwa media.
Tale ndio kaharibu kabisa. Akina Mario, Konde wajifunze kuridhika na walichojaaliwa. Hizo Grammy Awards na kujaza ma Arena kuna gharama zake😔
 
Mlijipeleka wenyewe mkaliwa nyuma kwa hiali yenu wenyewe na freemason mwenzenu mnayekutananao kwenye ibaada mkiwa uchi
 
Hapa wakiondoka bila kuaga 😀😀😀

Your browser is not able to display this video.

 
We jamaa ni mnafki sana.
 
Ila huyo Burna boy yaani hiyo closeness na mama ake sijawahi ielewa na vile sijui yupo single. Yaani hata kama didy hajampachua mi huwa naona anawalakini.
 
Ila huyo Burna boy yaani hiyo closeness na mama ake sijawahi ielewa na vile sijui yupo single. Yaani hata kama didy hajampachua mi huwa naona anawalakini.
Mpaka kufika kule, kuna assignments za nchini mwao lazima wewe wamezitimiza ikiwemo kulaka na maza zao. Ili meadi kufanya matendo kinyume na kawaida, kinyume na utu.
 
Imagine mtu mzima unazungumza utumbo hivi?Tushafamu ukiingia jumba la didy anafunga mlango,Cent hakuweza kukimbia sembuse nyie na vimatako vyenu?Halafu Didi tunajua ndio mtoa tuzo na nominees za Bet,huyo msanii wako nashangaa anaimba ushuzi na ashakuwa nominated mara kibao,mwenyewe nlikuwa najiuliza Kwa kipi Cha maana kumbe mnaenda pasuliwa yai.You guys are pathetic,na mbaya zaidi serikali inaendelea kuwa kenulia Meno Kwa jinsi mnavyo haribu kizazi Cha kesho hasa watoto kwa utumbo mnaoimba.
 
Kwani huyu P.diddy ana nini hasa special mpaka wasanii wajikombe kwake?

Kwanini wasanii watake kumtumia yeye tu ili kupanda kimuziki?

Naona utetezi umekua mrefu sana ila wakubwa tumesha elewa.
Bado wewe waarabu wakupake futa
 
Sijawahi msikiliza huyu jamaa hadi Leo hii,Kwa hiyo ndio anaongea hivyo?kazaliwa unguja Nini?Halafu achana na mambo ya kuwa good upstairs hapa tunazungumzia mafuta,na kama mwanaume anapakwa mafuta ili apewe fame huyo sio mpuuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…