Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

Swizz angefanya hivyo akili yao ingeona kuwa Swizz anawabania
 
Tale yupo Dar toka 2005 huko tunamsikia kwenye ma nyimbo. Diamond pia kaishi Dar miaka. Wote hawakuelewa kweli[emoji23]
Diamond ni mshamba tu tena sana mafanikio yamembeba tu
Kuishi au kuzaliwa dar es Salam ndiyo nini
Ni imani potofu kuamini kwamba kuishi au kuzaliwa dar es Salam ndiyo ujanja au lazima uwe mjanja
 
Ewe mbunge, ukisoma maoni ya Watanganyika humu, wanachotaka kusikia ni kwamba kuna vitu mlivyofanya ambavyo hamuwezi kuvisema.
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

Shida
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.


View: https://www.facebook.com/share/v/TqGQxCVF9WWctZr5/?mibextid=Mk4v2M
 
Kwa sasa hatuamini maneno tunahitaji report ya daktari mkafanyiwe uchunguzi , P mnyama lazima amewawekea madawa ya kulevya kwenye vinywaji akamalizana nao

Hiyo Moja, ukimsikiliza Simba wa tandale anasema walifanya mambo mengi ambayo sio vizuri kuyaweka kwenye media.
 
Maelezo ya Tale yamekuwa tofauti na maelezo aliyotoa Nassib hapo awali, japo wote wanazungumzia safari ileile ya kwenda nyumbani kwa Diddy.

Awali, tuliambiwa Nassib kuwa, kuna mambo walifanya kwa Diddy ambayo hayawezi kuwekwa hadharani, lakini Tale anasema waliitwa kula chakula.

Na anaongeza, waliitwa chumbani na Diddy ila Swizz Beatz akawakataza, wakaondoka. So vitu walivyofanya na haviwezi kuwekwa hadharani ni kula chakula?

Maelezo ya Tale yanaonesha kuwa, wao walikula chakula tu kwa Diddy, kwamba hayo ndiyo mambo ambayo walifanya nyumbani kwa Diddy na hayawezi kupostiwa kama Nassib alivyosema?

Hawa bado hawajasema, kama wakiulizwa vizuri watasema tu.

Ova
Huu mjadala niliufungia vioo kabisa, ila kwa kuwa mchumba wangu kaingia kuujadili imebidi nivunje ukimya na mimi.

Suala la Diamond na Diddy na kwa maelezo aliyoyatoa Diamond hapo kabla na yanayoendelea hivi sasa wengi tulibaki njia panda, Babu Tale naye aliyo bolizozo ndio kabisa katia chumvi kwenye kidonda kibichi. Sijui jamaa alifikaje hapo alipo, ni mtupu mno kichwani.

Lakini b... umeona clip ya Ustaadh Juma akilia juu ya Diamond kuingia chumbani kwa Diddy? Nimecheka sana. Itafute.
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

Jamaa alikuwa anakula mifugo balaa. Wanaume mastaa kwa kwenda mbele.

Mzee wa Mkuyuni kitambi kimemponza🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huu mjadala niliufungia vioo kabisa, ila kwa kuwa mchumba wangu kaingia kuujadili imebidi nivunje ukimya na mimi.

Suala la Diamond na Diddy na kwa maelezo aliyoyatoa Diamond hapo kabla na yanayoendelea hivi sasa wengi tulibaki njia panda, Babu Tale naye aliyo bolizozo ndio kabisa katia chumvi kwenye kidonda kibichi. Sijui jamaa alifikaje hapo alipo, ni mtupu mno kichwani.

Lakini b... umeona clip ya Ustaadh Juma akilia juu ya Diamond kuingia chumbani kwa Diddy? Nimecheka sana. Itafute.

Mzee baba ameliwa kichwa. Mwanetu tunamlilia. Wamemtoa ile protective sheet 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

Huku P Diddy na Produza Swizz Beatz kule nani na nani tena!? 🥺😩 Two pairs.
Swizz amuwekee kiwingu Boss wake kweli? Hii inafikirisha sana. Bora Babu Tale angeuchuna tu.!
 
Huu mjadala niliufungia vioo kabisa, ila kwa kuwa mchumba wangu kaingia kuujadili imebidi nivunje ukimya na mimi.

Suala la Diamond na Diddy na kwa maelezo aliyoyatoa Diamond hapo kabla na yanayoendelea hivi sasa wengi tulibaki njia panda, Babu Tale naye aliyo bolizozo ndio kabisa katia chumvi kwenye kidonda kibichi. Sijui jamaa alifikaje hapo alipo, ni mtupu mno kichwani.

Lakini b... umeona clip ya Ustaadh Juma akilia juu ya Diamond kuingia chumbani kwa Diddy? Nimecheka sana. Itafute.
Hata marehemu kaka yake alimweka nyuma ya Hamad, yaani rafiki yake alikuwa mbele kuliko huyo mdogo wake.

Kwa sababu alimjua ni 'kichwa chake ni chepesi'. Hamadi alitumia hekima tu kumfanya huyo jamaa ni Meneja wake.

Na huko siasani wote tunajua kama ilibidi arithishwe harakati za mkewe ambazo zilisonga mbele sana, kabla ya kifo kumchukua dakika za mwisho.

Ova
 
Back
Top Bottom