Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Kweli huyu mbunge ni mpakwa mafutaupumbavu tu
mbunge umeme mdg
utakuta hata ajawah onana na diddy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli huyu mbunge ni mpakwa mafutaupumbavu tu
mbunge umeme mdg
utakuta hata ajawah onana na diddy
Swizz angefanya hivyo akili yao ingeona kuwa Swizz anawabaniaAkihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.
Diamond ni mshamba tu tena sana mafanikio yamembeba tuTale yupo Dar toka 2005 huko tunamsikia kwenye ma nyimbo. Diamond pia kaishi Dar miaka. Wote hawakuelewa kweli[emoji23]
Izi kiki nyingine bhnHata mm nawashangaa
ShidaAkihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.
Umesahau na anatinda nyusiIla Diddy baradhuli sana😂😂😂.
Na kwa Tale kuachwa salama nakataa. Likiongea tu linarembua na kuweka madoido. Yani hata kama siku hiyo Diddy alikuwa hana hamu lazima alimtamani Mheshimiwa na kumpaka Baby Oil😂
View attachment 3106900
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.
Kwa sasa hatuamini maneno tunahitaji report ya daktari mkafanyiwe uchunguzi , P mnyama lazima amewawekea madawa ya kulevya kwenye vinywaji akamalizana nao
Huu mjadala niliufungia vioo kabisa, ila kwa kuwa mchumba wangu kaingia kuujadili imebidi nivunje ukimya na mimi.Maelezo ya Tale yamekuwa tofauti na maelezo aliyotoa Nassib hapo awali, japo wote wanazungumzia safari ileile ya kwenda nyumbani kwa Diddy.
Awali, tuliambiwa Nassib kuwa, kuna mambo walifanya kwa Diddy ambayo hayawezi kuwekwa hadharani, lakini Tale anasema waliitwa kula chakula.
Na anaongeza, waliitwa chumbani na Diddy ila Swizz Beatz akawakataza, wakaondoka. So vitu walivyofanya na haviwezi kuwekwa hadharani ni kula chakula?
Maelezo ya Tale yanaonesha kuwa, wao walikula chakula tu kwa Diddy, kwamba hayo ndiyo mambo ambayo walifanya nyumbani kwa Diddy na hayawezi kupostiwa kama Nassib alivyosema?
Hawa bado hawajasema, kama wakiulizwa vizuri watasema tu.
Ova
Noma sana!Didy did itView attachment 3106401
Jamaa alikuwa anakula mifugo balaa. Wanaume mastaa kwa kwenda mbele.Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.
Huu mjadala niliufungia vioo kabisa, ila kwa kuwa mchumba wangu kaingia kuujadili imebidi nivunje ukimya na mimi.
Suala la Diamond na Diddy na kwa maelezo aliyoyatoa Diamond hapo kabla na yanayoendelea hivi sasa wengi tulibaki njia panda, Babu Tale naye aliyo bolizozo ndio kabisa katia chumvi kwenye kidonda kibichi. Sijui jamaa alifikaje hapo alipo, ni mtupu mno kichwani.
Lakini b... umeona clip ya Ustaadh Juma akilia juu ya Diamond kuingia chumbani kwa Diddy? Nimecheka sana. Itafute.
ComasavaaAngeliwa asingestruggle kulikamata soko la marekani, so imani yangu inaniambia hakuliwa huyo dogo ila yule mnigeria nnamashaka nae 😆😆
Huku P Diddy na Produza Swizz Beatz kule nani na nani tena!? 🥺😩 Two pairs.Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.
Hata marehemu kaka yake alimweka nyuma ya Hamad, yaani rafiki yake alikuwa mbele kuliko huyo mdogo wake.Huu mjadala niliufungia vioo kabisa, ila kwa kuwa mchumba wangu kaingia kuujadili imebidi nivunje ukimya na mimi.
Suala la Diamond na Diddy na kwa maelezo aliyoyatoa Diamond hapo kabla na yanayoendelea hivi sasa wengi tulibaki njia panda, Babu Tale naye aliyo bolizozo ndio kabisa katia chumvi kwenye kidonda kibichi. Sijui jamaa alifikaje hapo alipo, ni mtupu mno kichwani.
Lakini b... umeona clip ya Ustaadh Juma akilia juu ya Diamond kuingia chumbani kwa Diddy? Nimecheka sana. Itafute.
AhahahahHao Kuna kitu kinafichwa wawe wazi tu kama walipata upako wa Diddy!