fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
sitashangaa nikisikia ni mradi wa CCM kurudisha hela za uchaguzi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoNoNonononono wadau naona mumeninukuu vibaya, ni nacho kifanya hapa ni kutoa angalisho maana wagonjwa wa Ukimwi wanawatukana Manurse na Madactari bila kuthibitisha sasa haya yana Effects kubwa ukitaka kurud tena
Jamani mi nimeona vitu lakini hiki cha loliondo kimenishtua sana, kwasababu Mzee huyu ni wa ajabu na ameweza kujipatia njia nzuuurii ya kutafuta Pesa bila kutumia unyang'anyi wala Ndumba, bali kwa kutumia Akili yake.
Hakuna uthibitisho wa kisayanxzi kwamba dawa hiyo inaponesha, na kimachoshangaza Eti Dawa hiyo huponi ukichota mwenyewe mpaka achote kwa mkono wake.
naomba tuwege makini, na naomba uthibitisho ili na mimi niende bana
Eti wadau ni njia ya kutafuta Ela au Dawa kweli?
...yap tupo pamoja ktk kuhakikisha tunamaliza au kupunguza magonjwa haya makubwa yanayotutesa.mawazo yetu wengi ni mazuri ila nadhani kama dawa hiyo ilianza kutumika zaidi ya mwaka naamini kutokana na wingi wa wanaokwenda huko unatokana na wingi wa waliopata nafuu kama si kupona.hivyo nadhani pamoja na nia nzuri ya serikali nadhani kuwa si vyema kusimamisha utumiaji bali ni kuwatumia hao waliotumia kuona wanaendeleaje na wawafanyie check up kisha wawafatilie na hawa wanaotumia hivi sasa tangu hali zao kabla hawajatumia na hadi watakavyokuwa wanaendelea baada ya kutumiaHii ni sawa, lakini kama serikali inabidi/ni muhimu ijiridhishe pia kwamba dawa hiyo licha ya kuponya kama inavyodaiwa haina madhara mengine makubwa kwa mtumiaji (sasa na baadae). kumbuka ni maelfu ya watu wanapatiwa tiba hii na wengine wanatolewa mahospitalini kwenda huko kwa ajili ya tiba, sasa kama ina madhara ni watu wengi wataathirika na serikali ina jukumu la kulinda afya na maisha ya watu wake.
Are u serious ?sitashangaa nikisikia ni mradi wa CCM kurudisha hela za uchaguzi....
do you really know the meaning of placebo and what it has an effect on?......au umekurupuka tu?.....nenda kasoma uelewe.
Kufuatia ujumbe uliotumwa na wizara ya afya na ustawi wa jamii kwenda Loliondo kwenda kuangalia uhalali wa matibabu yanayo tolewa na babu inasemekana babu hakuwa tayari kuruhusu wataalam hao kuipima dawa yake. ndugu wanajamii je hiyo imekaaje?
mpeleke tu gharama zimeshuka nafikiri baada ya yeye kutoa angalizo kwa wale wanopandisha bei
Mkuu haya yatatolewa,kwa kuwa sio ya kisiasa!!!Utafiti huo utachukua miaka mingi, na huenda matokeo yasitolewe hadharani..