Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naiomba Serikali imkamate huyu Mganga wa Kienyeji kwa kusababisha vifo vingi vya Wagonjwa ktk wiki hii!! ni jana tu nimemzika Shangazi yangu aliyefariki huko Loliondo mara tu baada ya kunywa kikombe kimoja cha dawa ili kutibu gonjwa la kisukari!!! Marehemu Shangazi langu aliishi na ugonjwa huo zaidi ya miaka 20 lakini alipoambiwa kuna Mchungaji anatibu papohapo tulimpeleka Shangazi na kupewa hiyo dawa na tukiwa njiani kurudi nyumbani Shangazi aliaga dunia!!
Tunasikitika kumpoteza Shangazi wetu mpendwa na nimesikia kuna wagonjwa wengi waliofariki mara baada ya kunywa dawa za huyo Mchungaji na kunipa hofu na kukumbuka kisa cha Mchungaji mmoja huko Uganda miaka ya 90 alichoma Kanisa Moto na kuteketeza maelfu ya Waumini waliokuwa humo ndani kwa kudai alioteshwa na Mungu kuwa wakifia Kanisani kwa kujichoma moto basi wataenda mbinguni!!!
Naiomba Serikali imchukulie hatua kali huyu Mchungaji wa Loliondo kwani amesababisha madhara makubwa kwa Wananchi na hata kuharibu mazingira kwa kuwakusanya maelfu ya watu mahali finyu bila choo wala mahala pa kulala na pa kula!!
Familia yetu iko mbioni kushika wakili ili tumfungulie kesi kwa kusababisha kifo cha Shangazi wetu mpendwa!
Wananchi tuwe macho na hawa WACHUNGAJI NA MAPADRE wenye kudai kutibu maradhi baada ya kuoteshwa ndoto na Mungu wakiwa wamelala!!!!!!!!!
Wananchi tuwe macho na hawa WACHUNGAJI NA MAPADRE wenye kudai kutibu maradhi baada ya kuoteshwa ndoto na Mungu wakiwa wamelala!!!!!!!!!
Peleka maiti ya shangazi yako kwa Mganga Majungu wa Selous atamfufua.
Yu masti bi jiniaz.Mmmh isijekuwa ni ya kupunguza watu ila wakubwa waende kwa kujinafasi na baadae tutangaziwa hivi:-"Uchunguzi wa kimaabara umeonyesha kuwa dawa ya babu haina madhara kiafya. Aidha, utafiti wa kisayansi umeshindwa kuthibitisha kama kweli dawa hiyo ina uwezo wa kutibu magonjwa yanayosadikiwa kutibika kwa dawa hiyo. Hata hivyo, kwa kuwa suala lenyewe linahusu imani zaidi, Serikali haina kipingamizi".
Naiomba Serikali imkamate huyu Mganga wa Kienyeji kwa kusababisha vifo vingi vya Wagonjwa ktk wiki hii!! ni jana tu nimemzika Shangazi yangu aliyefariki huko Loliondo mara tu baada ya kunywa kikombe kimoja cha dawa ili kutibu gonjwa la kisukari!!! Marehemu Shangazi langu aliishi na ugonjwa huo zaidi ya miaka 20 lakini alipoambiwa kuna Mchungaji anatibu papohapo tulimpeleka Shangazi na kupewa hiyo dawa na tukiwa njiani kurudi nyumbani Shangazi aliaga dunia!!
Tunasikitika kumpoteza Shangazi wetu mpendwa na nimesikia kuna wagonjwa wengi waliofariki mara baada ya kunywa dawa za huyo Mchungaji na kunipa hofu na kukumbuka kisa cha Mchungaji mmoja huko Uganda miaka ya 90 alichoma Kanisa Moto na kuteketeza maelfu ya Waumini waliokuwa humo ndani kwa kudai alioteshwa na Mungu kuwa wakifia Kanisani kwa kujichoma moto basi wataenda mbinguni!!!
Naiomba Serikali imchukulie hatua kali huyu Mchungaji wa Loliondo kwani amesababisha madhara makubwa kwa Wananchi na hata kuharibu mazingira kwa kuwakusanya maelfu ya watu mahali finyu bila choo wala mahala pa kulala na pa kula!!
Familia yetu iko mbioni kushika wakili ili tumfungulie kesi kwa kusababisha kifo cha Shangazi wetu mpendwa!
Wananchi tuwe macho na hawa WACHUNGAJI NA MAPADRE wenye kudai kutibu maradhi baada ya kuoteshwa ndoto na Mungu wakiwa wamelala!!!!!!!!!
Mkuu.nadhani alichojaribu kueleza kaka ni msisittizo tu hana uhusiano wa moja kw moja na mskitini anajaribu kueleza hisia zake ni jins gani amekwazwa na jambo hli,tumuelewe wana JF.
Peleka maiti ya shangazi yako kwa Mganga Majungu wa Selous atamfufua.
Shukuru shangazi kafa maana gharama za maisha zitapungua