Hapo kwenye rangi ndo kuna kasoro: Kuna harufu ya UDINI. Nani alikulazimisha uende huko kutibiwa?? ulivutwa kwa mnyororo. Mchungaji amekuambia dawa yake inatibu kutegemea na imani ya mgonjwa-na hilo ulijua-je unajuaje shangazi yako alikuwa na imani ya dawa?? mbona mimi jirani yangu alikwenda akiwa anaumwa na yupo anajieeleza kuendelea vema!!! kwa sasa wakati uchunguzi wa kisayansi haujafanywa kuhusu ubora na uhahakika wa dawa, yeyote aendapo kutibiwa kwa dawa hiyo aende kwa imani yake na awe tayari kubeba dhamana ya mafanikio au madhara yeye mwenyewe (he/she has to take risk or responsibility him/herself).
Hapo penye rangi sijakuelewa!!! fafanua zaidi unamaana gani?