yes mkuu, hii ilikuwa zaidi ya DR. Shika, watu wali-SHIKIKA kweli na IKAPENDEZADah ni hatari sana msafara wote huo kwa Babu ni shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes mkuu, hii ilikuwa zaidi ya DR. Shika, watu wali-SHIKIKA kweli na IKAPENDEZADah ni hatari sana msafara wote huo kwa Babu ni shida
kwahiyo kila jambo unaloambiwa unaliamini pasipo kuipa nafasi yakufikiri halmashauri yko ya kichwa...Kwa kosa gani? Kumbuka alisema ili upone lazima uwe Na Imani
Shauri yakoKama namjua ivi huyu jamaa.
Dr Shika anasubiri sana kwa huyu babuDr Shika Na Babu Nani Genius?
FrastruesheniYa Safari hii itatibu gonjwa gani
Kajiongeza. Chezea fursa wewe!Mzee aache kutuingza mjini, au alivyoona foleni meli y wachina kajua watanzania wengi wagonjwa ...
Bila kusahau Babu Seya naye awepo kwajili ya burudani wakati watu wakipata dawaAmwajiri SHIKA kuwa ndio muhudumu wake wa kugawa kikombe ITANOGA zaidi maana uongo wao unafanana juzi tuu katoa uongo mwingine kuwa ameteuliwa kuwa balozi wa marekani
Wajinga hawaishi labda bahari ikaukeWajinga wapo wengi mjini..Mzee utapiga pesa trust me!we taja tu siku ya kuanza huduma utawapata wateja.