Baby dady Drama: Ni ngumu sana kushindana na baba wa mtoto ukianzisha mahusiano na single maza, ngumu sana!

Baby dady Drama: Ni ngumu sana kushindana na baba wa mtoto ukianzisha mahusiano na single maza, ngumu sana!

Acha masihara yaan hadi unaruhusu iingie Kuna utamu uliusikia hakuna mimba inayoingia bahati mbaya
Haikuwa bahati mbaya na sijawahi sema nilipata bahati mbaya ila tambua kuwa simfahamu huo utamu wa ngono kutoka kwake....I mean sikupata Radha yoyote
 
Haikuwa bahati mbaya na sijawahi sema nilipata bahati mbaya ila tambua kuwa simfahamu huo utamu wa ngono kutoka kwake....I mean sikupata Radha yoyote
Yaan wakati kale kabao kanaingia uliona tu km jamaa anakupapasa anakugusagusa na kukumwagia maji tu hakuna anachokufanya? Acha utani
 
Yaan wakati kale kabao kanaingia uliona tu km jamaa anakupapasa anakugusagusa na kukumwagia maji tu hakuna anachokufanya? Acha utani
Aliwajibika ila sikujisikia....sijawahi kuwa na utani mapenzini
 
Kwa Afya ya Kulinda Kizazi chako, Oeni mwanamke ambaye hajazaa.


Wakati huo huo tambueni kua siku hizi walooa mwanamke ambaye hajazaa, Huwa wanalea watoto wa wengine.


Ikitokea Umeoa Mwanamke mwenye mtoto, itapendeza kama alozaa naye awe amekufa, kama hajafa,, mwambie mtoto wake huyo ampeleke kwao na alozaa naye , Kama anataka kuishi naye, MPE MASHARITI MAGUMU MAGUMU, MPE MASHARITI NA AYAELEW NA AJUE WAZIWAZI, KUA SIKU AKIFANYA UPUMBAVU KWA MGONGO WA MTOTO, SIKU HIYOHIYO NDIO UTAKUA MWISHO WA NDOA !

Hatari nayoiona Sasa, Kwa Sasa mabinti wengi wanazalia kwao , na wengi wao wanazaa na wanaume ambao hawaoani Kwa sababu za Maisha tu ,,, hali hiii inapelekea Singo Maza Asilimia kubwa, KUTAFUTA MWANAUME AA KUWAOA KWA KUJIEGESHHA TU ILI YEYE NA MWANAWE WAISHI VIZURI !!.


hata Ivo, Suala la kuoa, Nafikiri ni Kuomba Mungu upate Mke mwema tu ,anayejielew !!.
You are right comrade
 
Kwa lugha nyingine ni kuwa wanawake waepukeni kwa nguvu na akili zenu zote wanaume wenye watoto na mama zao bado wako hai.
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
Sahihi
 
Vijana waoga sanaa…wanaogopa kuona matala pia wanaogopa kuoa s.mother
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Back
Top Bottom