Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mimi ni bukheri wa afya kabis, namshukuru Mungu. Sijui weweKumbe sapiosexuals tuko wengi [emoji16][emoji16][emoji16]
Hamjambo lakini dada zangu intelligent nyie?
Kwa kweli sijqmbo. Namshukuru Mungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie sijambo my kaka, ila sijui HS!
Kuna kipindi hapo katikati nilitamani sana niwe furushi lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Hata HS pia atakuwa OK.
Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Kuna kipindi hapo katikati nilitamani sana niwe furushi lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Hata HS pia atakuwa OK.
Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Tangu niugundue huu msemo wake naupenda sana. Sijui alifikiria nini [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu acha haya matani.Ila humkuti baby k wewe utakuwa mbaya tu. Unapendwa na msukuma shimba ya buyenze.
Kabisa mkuu...😂😂😂
Hahaa mchokozi sana huyoTangu niugundue huu msemo wake naupenda sana. Sijui alifikiria nini [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaaa. Nammanya 😉😉
Hahahaaa. Alijibu ila nadhani alijua na mie umri umekimbia. Teh teh.Hivi hili swali lilipata jibu?
Nilishangaa sana ujueHahahaaa. Alijibu ila nadhani alijua na mie umri umekimbia. Teh teh.
Mana alisema namuonea wivu eti. 🤣🤣🤣
Ila humkuti baby k wewe utakuwa mbaya tu. Unapendwa na msukuma shimba ya buyenze.
[/QUOTE
Ndio huyo uliyemuona
Mbona mnanwita mama, huyu kijana kabisaView attachment 1419479
Wale wa picha...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kipindi hapo katikati nilitamani sana niwe furushi lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Hata HS pia atakuwa OK.
Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Haki shimba ni katatizo[emoji1787][emoji1787]
Msukuma hauwezi kutuambia chochote kuhusu wanawake. Toka alipomuuliza Gwajima maswali ya Kijinga nilimdharau sana na kugundua kinachomsitiri ni CloudsKwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo.
Ni mzuri
Ana exposure
Si mjivuni
Social
Mambo Safi
Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake.
Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post angalau nipate faraja kwamba umenisoma.
Wako akupendae;
Superbug