Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

Kuna kipindi hapo katikati nilitamani sana niwe furushi lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Hata HS pia atakuwa OK.

Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki umenichekesha!! Sasa ikawaje ukaghairi?
 
Msukuma hauwezi kutuambia chochote kuhusu wanawake. Toka alipomuuliza Gwajima maswali ya Kijinga nilimdharau sana na kugundua kinachomsitiri ni Clouds

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…