Mkiweka mahari kubwa tu, imekula kwenu πMnataka kutuchezea mchezo nyie π
Usikute mlishaonjana huko ukamteka binti yetu hasikii Wala kuambiwa
Na hivi nauli ya Uvinza Serikali imefuta basi umetumia hiyo loophole π π
Ndio hoja ya mtoa madaSasa ndio asikwambie umependeza because ela ya salun ajakupa yeye?
Ndio msilalamike wanapotaka muwahudumie sasaHouse chores linabaki kuwa jukumu la mke, solely for her, hapo hakuna mjadalaπ€£
Kwa kweli hatuna jinsi zaidi ya kukubali tu π€Mkiweka mahari kubwa tu, imekula kwenu π
Ah π€£ wewe ushamnunulia nini? Mwanaume wako?
Hatulalamiki hata kidogo, ila dynamics za maisha zimebadilika kidogo.Ndio msilalamike wanapotaka muwahudumie sasa
Wazee wetu zamani hasa wa kike hakuna walichopewa zaidi ya mimba πYani babu anapiga saundi akiwa anatoka shambani location mtoni au kisimani, akimtwisha mtoto wa kike ndoo ya maji hadi anafika kwao kishaeleweka.
Ni jukumu la baba kumpendezesha binti yake ambaye hajaolewaWanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza
Hatujaonjana! Kasema hadi siku ya ndoaKwa kweli hatuna jinsi zaidi ya kukubali tu π€
Ndiyo maana Zamani ilikuwa unalipa Posa na mahari ndiyo unapewa Mke
Siku hizi mnaonja na kuonja kabisa, ili kumzuzua Binti yetu mnatumia hadi asali ili mtoto wa watu Kila saa awe anakuwaza wewe tu π
Afadhali Kwa kweli, maana Wazee tulishaanza kuwaza itakuwaje Siku ya Ndoa yenu wakiwatandikia shuka Jeupe kuangalia kama ipo ama haipo π€Hatujaonjana! Kasema hadi siku ya ndoa
PunguaniUnakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza.
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira.
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*
Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha.
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera.
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa
Kona ya Bwiru
Muuzaji wa dukaWamepaniki baada ya kuwaambua hao
Hata hawa wa humu wanachuuzana tu hakuna reality. Lakini kuna vichwa maji wanaingia mkenge.Very true,
Unajua wanawake wanastory nyingi sana za uongo wakikaa huko salun na kwenye magroup Yao
Na uwa hawaambiani ukweli yan hawatoi codes
Unakuta dem anasema mtu wangu kaninunulia gari, ila hasemi kuwa last 2 months mtu wangu alikuwa broke, nikauza cheni zangu, nikamkopea ela vikoba,
Now mambo yake Safi ameninunulia Prado
Sasa wanawake wale wajinga wanajua Prado imepatikana Kwa kuvua nguo tu
Hata hawa wa humu wanachuuzana tu hakuna reality. Lakini kuna vichwa maji wanaingia mkenge.
Hizo dynamics zibadilike kote sasa na siyo kwenye majukumu ya mwanaume tu, kama mnaamua kuchagua haki sawa basi na majukumu yawe sawa kwa wote isipokuwa yale ya kimaumbile tu, na kama mnaamua kuchagua mfumo dume basi timizeni majukumu yenu na wanawake watimize yao tofauti na hapo mtaendelea kuwalaumu wanawake tu hadi mwisho wa dahariHatulalamiki hata kidogo, ila dynamics za maisha zimebadilika kidogo.
πππππππππWazee wetu zamani hasa wa kike hakuna walichopewa zaidi ya mimba π