Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Ndo hvyo mkuu mim Kuna mwenzangu nmemshauri hivyo akaniambia yeye mtoto wake anampeleka EMS Primary School alaf O Level anampeleka Shule za Kata
 
wanakutana wapi, wakati kila mtu anaenda shule yake? wenye A utawakuta Benjamin wakat wenye C utawakuta kerezange secondary
Hawa EMS mwisho wa siku inabidi tu wauze viwanja vya urithi maana wanaona aibu kurudi Kayumba. Ni kweli huwa hawakutani.
 
Wewe pia ni mwathrika wa hizi misconception.

Wachina, wafaransa, Warusi, hawajui hicho kinachoitwa Kingereza na utashangaa wanavyotoboa duniani.

Kingereza ni Lugha tu haipaswi kukucost mstakabali wako wa maisha mengine.
Wafaransa,wachina etl siyo levels zetu ,wao wanaindustries na commodities za kunadi lugha zao na bidhaa zao,( complimentary,joint demand,composite demand)iwe isiwe lazima uhitaji commodity ya huyo mchina,mfaransa nk,automatically ili uwe efficient lazima ujifunze lugha yake,kinyume na sisi watz,tuna export commodity ipi ya kuiattach na kiswahili ili kusudi hao wachina,wafaransa nk waone umuhimu wa kukipenda kiswahili,kimsingi mtoto ukimnyima lugha ya Dunia,umemtengenezea ukuta,wa kuzunguka hapa hapa nchini
 
Hii nayo pointi...mimi sipingi watu kupeleka watoto wao huko. Ila nashauri watu wasijiforce kama hawana uwezo.

Nina Marafiki wengi wameliwa pesa, wana mkopo balaa.
At the end anachoambulia mtoto ni kingereza kizuri tu nothing else.

Watoto wa vigogo wanafanikiwa sio kwa sababu wamesoma EMS bali wao hawa wasipoenda huko tayari wana Garantee ya Maisha mazuri.

Mfano Mo Dewj amesoma Tanganyuka IS na Marekani.

Yeye hata bila kupita huko tayari ana mafanikio ya ukoo.
 
Mkuu uliza watu wanaoenda ulaya na kupata international opportunities sio kwa sababu ya Kingereza chao.
Unajichanganya.
Prof Ussoro ulimsikia Kingereza Chake?
 
kila mtu alipe kwa uwezo wake ada ambayo anahisi ataweza kulipa.
 
Kama unashindwa kumlipia 2.5M kwa mwaka utaweza 15M ya urubani Tena ule wa private pilot?
Commercial pilot siyo chini ya 100M.
Unajua kiingereza muhimu kwenye masomo na kazi za urubani?
Acheni kuongopeana.
 
Mimi mwenzenu wa kwangu niliona ni ana akili ya wastani toka msingi. Nimeona aendelee kusoma kayumba na sekondari atasoma kayumba. Pia nimemwandikisha dojo anacheza michezo boxing na karate
Akimaliza f4 aende jeshini anaingia na fani ya ngumi.
 
Kama unashindwa kumlipia 2.5M kwa mwaka utaweza 15M ya urubani Tena ule wa private pilot?
Commercial pilot siyo chini ya 100M.
Unajua kiingereza muhimu kwenye masomo na kazi za urubani?
Acheni kuongopeana.
Hizi elimu za ada kubwa ni biashara tu, unavyolipa ada kubwa ndivyo mishahara ya walimu wao inazidi kunona, mwisho wa siku wanafanya mtihani wa taifa mmoja, wanaenda kukutana pale udom n.k​
 
ukizingatia walimu wengi wanaofundisha EMS asilimia kubwa ni felia hawaajiriki hata serikalini,halafu kiingereza siyo elimu ni lugha tu
 
100% Fact.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…