Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Nilifuata ushauri wa Likud Nina watoa watoto wangu shule ya English Mediums.

Niliwatoa mwaka jana katikati. So mwaka huu mzima watoto wangu wamesoma Kayumba.

1. Kwa mwaka huu mzima pamoja na kumalizia kibanda changu na kununua kiwanja kingine,nimeweza kuhifadhi shilingi milioni 8 na uchafu.


2. Hili limewezekana kwa sababu nimewatoa watoto wangu shule ya English Medium.

Nilikuwa nasomesha watoto wa3. Mtoto mmoja kwa mwaka ada tu ni milioni mbili, bado hajaweka usafiri na vikorokocho vingine tuseme ukihesabu na hivyo inakuwa milioni 3 na ushee.

So kwa watoto watatu maana yake ningekuwa nimetoa milioni kumi halafu pia nisingekuwa na akiba yani sasa hivi ningekuwa naumiza kichwa ntapata wapi hela za kuwalia wanangu.

But :

1. Nimehamia kwangu. Watoto wangu wanaishi nyumbani kwababa yao. Nisinge wahamisha hadi muda huu ningekuwa sijajenga wala nisinge kuwa na kiwanja cha ziada wala hiyo milioni nane.

2. Nina kimilioni nane changu ambacho kufikia mwakani mwezi wa kumi na.mbili kwa mipango niliyo iweka itakuwa imezalisha mara kumi yake.

3. Watoto wangu wanasoma shule kifalme. Wanaenda kwa miguu umbali wa kama dakika kumi. Wanakula vizuri, wanalala pazuri, wanavaa vizuri, shuleni wana sare pea tano tano viatu pea tano tano mabegi pea 3 tatu kila mmoja.


Nawasimamia vizuri.

Wanafanya vizuri darasani.

Nimewawekea programme za kitaaluma : home tuition; English, Hesabu na Sayansi plus programme za kitaaluma kupitia kwenye Tv ya nchi 40+ ambayo pengine nisinge weza kuinunua kama wangesoma shule ya Em coz hela yote ingeishia kwenye ada.


Asante sana Likud.

Watanzania wenzangu wenye kipato cha kawaida fikirieni mara mbili. Wacheni kujistress na ada kwenye shule za EM wakati uwezo wenu ni wa kuunga unga.

Kusomea EM at least uwe na networth ya kuanzia walau milioni 150 plus.
Mkuu acha saundi na fiksi. LIKUD Alianza utopolo huu wakulazimisha watu wasipeleke watoto wao English medium mwaka huu.

Mwaka jana hadi mwanzoni wa mwaka huu nyuzi zake zilikuwa za lindi na mtwara.

Usituchukulie poa watu humu jamvin tuko makini kufuatilia mambo.

Uumbwaaa Chaliifrancisco
 
Mtu anapata mshahara wa 1M kwa mwezi...halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka...huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine....anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada...hapa lazima aishi maisha ya msongo wa mawazo kila ifikapo january.. stress za mikopo haziishi
 
Mkuu acha saundi na fiksi. LIKUD Alianza utopolo huu wakulazimisha watu wasipeleke watoto wao English medium mwaka huu.

Mwaka jana hadi mwanzoni wa mwaka huu nyuzi zake zilikuwa za lindi na mtwara.

Usituchukulie poa watu humu jamvin tuko makini kufuatilia mambo.

Uumbwaaa Chaliifrancisco

Nyau de adriz
Ameanza 2023 mkuu, sema 2024 ndio emeweka nyuzi nyingi zaidi.

Na Mimi huu ni Uzi wangu namba 2 nilishawahi kupost Uzi hapa kuhusu faida nilizo zipata baada ya kuwatoa watoto wangu ENGLISH mediums.
 
Hujagusia maendeleo yao kitaaluma na ubora wa elimu, unakagua madaftar ya watoto wanachosoma shuleni


English Medium schools ni money making scheme kwa wamiliki wa hayo mashule..standard ya elimu ni ileile....unapambana huku chini ili mje kujazana at university level...mkishapata degree zenu mnarudi mtaani kuzungusha bahasha. Kama mzazi unajijua huna biashara, makampuni au assets unazotaka mwanao/wanao waje wazisimamie au waziendeleze basi usijisumbue kumpeleka mwanao huko English Medium. Ni upotezaji wa fedha....hizo 4/5M unazolipa kama ada ya mtoto ili asome EM schools ni bora ukamfungulia fixed deposit account mwanao ili akimaliza masomo apate mtaji wa kuanzia maisha yake mtaani.
 
English Medium schools ni money making scheme kwa wamiliki wa hayo mashule..standard ya elimu ni ileile....unapambana huku chini ili mje kujazana at university level...mkishapata degree zenu mnarudi mtaani kuzungusha bahasha. Kama mzazi unajijua huna biashara, makampuni au assets unazotaka mwanao/wanao waje wazisimamie au waziendeleze basi usijisumbue kumpeleka mwanao huko English Medium. Ni upotezaji wa fedha....hizo 4/5M unazolipa kama ada ya mtoto ili asome EM schools ni bora ukamfungulia fixed deposit account mwanao ili akimaliza masomo apate mtaji wa kuanzia maisha yake mtaani.
Sahihi kabisa mkuu
 
Hongera sana mkuu. Watanzania wa hali ya kati wanao taka kujifananisha na matajiri & viongozi kusomesha watoto shule za EMs wanatakiwa kujua kwamba hao matajiri na viongozi huwa hawasomeshi watoto kwenye shule hizo kwa hela zao halali. Huwa wanatumia hela za wizi na ukwepaji kodi.
 
Back
Top Bottom