Wewe jamaa acha ushamba kila kitu ujamaa;tangu tuachane na ujamaa ni miaka mingapi na vizazi vilizaliwa baada ya ujamaa ni vingapi?Shida imeanzia kwenye mentality za kijamaa ambazo tumeasisiwa nazo ndio maana Hadi kesho mbongo anapenda kuajiriwa kuliko kujiajiri hata kama anapata Fedha kubws private
Tanzania haijaachan na kabsa imetengeneza hybrid ya ujamaa na ubebar hukohukoWewe jamaa acha ushamba kila kitu ujamaa;tangu tuachane na ujamaa ni miaka mingapi na vizazi vilizaliwa baada ya ujamaa ni vingapi?
Shida siyo ujamaa Watanzania tuache uvivu,wizi na majungu!!
Mashirika mengi yalianzishwa wakati wa ujamaa sisi tumekuja kupoteana hapa kwenye ubepari uchwara!!
Kwa hiyo waache kuzalisha bia na sigara ili wasiondoke na dola? Hebu niambie kisomo chako una elimu gani?Si kosa lako mkuu. Uelewa ndiyo mdogo. Ni hivi, hao TBL na TCC hata kama wanazalisha faida kiasi na ajira na kodi kiasi gani kwa nchi lakini wanachukua faida na kupeleka kwao. Faida hiyo wanaichukuwa ikiwa katika dola na si madafu. Wanavyoingiza faida kubwa zaidi ndivyo wanavyoondoka na dola nyingi zaidi. Wanavyoondoka na dola nyingi zaidi ndivyo Tsh inavyozidi kushuka thamani. Ndivyo tunavyozidi kupata uhaba wa dola. Ndivyo tutakavyohangaika kuagiza mafuta na dawa na ngano nk nk. Hao ni tofauti na watu kama Barrick au Mwadui. Wao wanachimba madini ambayo wanayauza nje kwa dola na hivyo kuingiza dola nchini. Unapokaribisha uwekezaji nchini jambo la muhimu sana kuangalia kama utakuletea fedha za kigeni au utaziondoa.
Aloyekwambia umeachana na ujamaa ni nani? Hujui kitu kaa kimyaWewe jamaa acha ushamba kila kitu ujamaa;tangu tuachane na ujamaa ni miaka mingapi na vizazi vilizaliwa baada ya ujamaa ni vingapi?
Shida siyo ujamaa Watanzania tuache uvivu,wizi na majungu!!
Mashirika mengi yalianzishwa wakati wa ujamaa sisi tumekuja kupoteana hapa kwenye ubepari uchwara!!