Badili mtazamo wako kuhusu BMW

Badili mtazamo wako kuhusu BMW

View attachment 686106ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida
Lakini nikwambie tu kitu kimoja hakuna gari imara kama BMW na ukiweza kufuata masharti ya kumiliki gari hutakaa ujutie pesa yako
Kama una uwezo wa kununua Brevis, Nissan Fuga au Klugger... Magari ya kijapan yenye engine kubwa na matumizi makubwa ya mafuta... Hakika HUWEZI kushindwa kununua BMW ya kawaida lakini yenye viwango sawa na hizo gari hapo juu.. Huku ukifurahia ulaji mdogo wa mafuta... Mfumo wa BMW uko tofauti sana... Umejengwa kwenye mfumo wa kuokoa ulaji wa mafuta huku nguvu ya mashine ikiwa ni ileile

Gari nyingi za kijapan hazina body ngumu tofauti kabisa na huyu mnyama BMW... Yani hata unapokaa kwenye seat unahisi kabisa umekaa kwenye mashine ya ukweli... Na ni aghalabu kukuta BMW imepinduka kichwa chini mijuu guu

Hizo magari hapo juu nazo spare zake ni ngumu na ghali kupatikana kama BMW tuu... Tena sometimes unaweza kuipata ya mnyama kirahisi zaidi kuliko hizo nyingine
Kingine ni kwamba BMW wana variety of different styles na kila style ni bakora tofauti na hizi nyingine.... Ukikuta mabrevis yote yanafanana

Badili mtazamo wako BMW ni gari ngumu nzuri na sio ghali kama unavyodhani.. Kuwa tofauti... Miliki mnyama... Pichani hapo juu ni 320td fuel consumption ni km 15 kwa Lita sawasawa na duet tuu... Lakini mkiwa rodini mnyama atatamba
Sawa mkuu maelezo yako mazuri sana,ila 5 series na 3 series nyingi sana kwenye magereji ziko juu ya mawe kulikoni?halafu kuna jirani yangu mmoja alikuwa na 3 series tena namba D,kila asubuhi lazima afungue bonet na kuweka maji kwenye radiator,sasa hili nalo likawa moja ya mambo yaliinifanya nizidi kuziogopa...
 
Sawa mkuu maelezo yako mazuri sana,ila 5 series na 3 series nyingi sana kwenye magereji ziko juu ya mawe kulikoni?halafu kuna jirani yangu mmoja alikuwa na 3 series tena namba D,kila asubuhi lazima afungue bonet na kuweka maji kwenye radiator,sasa hili nalo likawa moja ya mambo yaliinifanya nizidi kuziogopa...
Kuna models hazikosi faults na hii sio kwa BMW tuu..
 
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] your request is my command Kasie

Yeeeeeeeeh mshana........

Wantega ujue...... ntafanyaje sasa na siri ndo nshaikwambia......

Just do it..... alafu nimekumiss. Ngoja nikae sawa maili moja itahusika.
 
Yeeeeeeeeh mshana........

Wantega ujue...... ntafanyaje sasa na siri ndo nshaikwambia......

Just do it..... alafu nimekumiss. Ngoja nikae sawa maili moja itahusika.
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] waiting
 
Sawa mkuu maelezo yako mazuri sana,ila 5 series na 3 series nyingi sana kwenye magereji ziko juu ya mawe kulikoni?halafu kuna jirani yangu mmoja alikuwa na 3 series tena namba D,kila asubuhi lazima afungue bonet na kuweka maji kwenye radiator,sasa hili nalo likawa moja ya mambo yaliinifanya nizidi kuziogopa...
Aidha
1.wamiliki hawana hela
2.fundi wake magumashi
Kusema kila asubuhi lazima aweke maji sababu inaweza kuwa
1.radiator imetoboka
2.expansion tank imetoboka
3.hose pipe imetoboka
Sasa hivyo nilivyokutajia vyote vinapatikana hapa mjini hata mimi ukiniomba kesho asubuhi nakuletea.
 
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] waiting

Daaah hayo makopa kopa yananipa hamasa ujue....... au ndo umeyapulizia nanihii. ...... nihakikishe usalama wangu tuu, Kasie kaoga heheheheheee.
 
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] waiting
Wakuu Nje ya Mada kidogo...
Hivi gari za Singapore mnazionaje ukicompare na Japan??
Mi binafsi naona kama zina quality nzuri kwa muonekano wa pichani.ila nyie wajuzi sijui mna overall comments gani
Aidha
1.wamiliki hawana hela
2.fundi wake magumashi
Kusema kila asubuhi lazima aweke maji sababu inaweza kuwa
1.radiator imetoboka
2.expansion tank imetoboka
3.hose pipe imetoboka
Sasa hivyo nilivyokutajia vyote vinapatikana hapa mjini hata mimi ukiniomba kesho asubuhi nakuletea.
 
Daaah hayo makopa kopa yananipa hamasa ujue....... au ndo umeyapulizia nanihii. ...... nihakikishe usalama wangu tuu, Kasie kaoga heheheheheee.
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8]
 
Wakuu Nje ya Mada kidogo...
Hivi gari za Singapore mnazionaje ukicompare na Japan??
Mi binafsi naona kama zina quality nzuri kwa muonekano wa pichani.ila nyie wajuzi sijui mna overall comments gani
Hazijachakachuliwa... Za Japan pia sio mbaya.. Ishu iko za Dubai
 
Siwezi kukubishia hata kidogo. "Kimfaacho mtu chake" na kiukweli ntakuwa mpuuzi sana kukubishia mshana. Una sababu za kusema hivyo nami sikatai kuwa BMW wana magari mazuri.nmemiliki BMW 330 ya mwaka 2002 nmekuja iuza mwaka jana september 2017 ni gari nzuri naikubali. Lakini siwezi sema Toyota ni takataka. Maana kwa sasa nina Crown Athlete S CC 3.5 ni gari ya tofauti sana na mark X ambayo nlikaa nayo miezi michache tu. So BMW nazikubal kama ninavyozikubali Benz pia.ila ujasiri wa kusema ni takataka ntatoa wapi maskini mimi? Ntatoa wap ndugu yangu mshana. Nissan sina uzoefu nazo so hapo no comment

GuDume ngoja nisizungumzie wengine.. Nijizungumzie binafsi
Mimi kwanza ni MGONJWA wa magari na gari ya kwanza kununua ilikuwa ni Mitsubishi Gallant mwaka 2001,kisha nikanunua Nissan bluebird... Baada ya hapo nikaingia kwenye TOYOTA chaser, Avante lordly... Niliipenda sana hii mashine TZS 2164, Nikaendelea na TOYOTA nikanunua Balloon GX90 CRESTA T800ABJ... hii mpaka leo ipo... Sifa ya balloon itakumbukwa vizazi vingi... Nikaingia kwenye Ford Explorer V8, nikaingia kwenye Benz V boot, nikarudi kwenye Nissan English Version kisha nikaingia kwenye BMW halafu nikarudi kwenye Nissan kisha BMW
Naomba nikiri wazi bila kificho bila hiyana na bila sifa BMW ni gari bora hasa linapokuja suala la ubora uimara na usalama
 
Mnyama Hyundai sonata series...iwe sonata 3,4,au 5..sio mchezo..body ni ngumu kama chuma..ukifunga spea unasahau..halafu classic car miaka 10000 fashion yake haichok..angalia movie ya safe ya Jason Statham ameitumia..
 
[emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8]

Yaaalaah kwa haya makopa kopa leo ntalala mwanana kama nimeogea maji ya chumvi ya mawe looh.

Yakurudie haya makopa mara kibao kibao.... mwaah!!
 
Yaaalaah kwa haya makopa kopa leo ntalala mwanana kama nimeogea maji ya chumvi ya mawe looh.

Yakurudie haya makopa mara kibao kibao.... mwaah!!
[emoji173] [emoji175] [emoji175] [emoji175] [emoji120] [emoji39] [emoji298] [emoji298] [emoji182] [emoji180] [emoji179] [emoji172] [emoji171] [emoji170]
 
ipo ndugu... miaka kadhaa nyuma nilikuwa napush hyo 320 turbo diesel ila nikaisukuma baada ya vyuma kukaza since ilikuwa inaumiza kwenye spare parts nimerudi kwenye ulimwengu wa toyota... maana car enthusiast's wa bongo wanakwambia TOYOTA is our god SUZUKI is our jesus sasa jiroge utoke nje ya hizo brand na mfuko umetoboka
Mimi nilidhan Nissan iko cheap kuliko Suzuki..
 
Back
Top Bottom