Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Nitoe Ili iwaje,kwani Barabara nzima Hadi Kigoma Ina lami? Hata hizo zingine hapo Kuna vipande havina lami.

Wewe si ulitaka kujua kwamba kumbe unaweza safiri Mkoa hadi.mkoa na ukala vumbi some sections? Ndio hizo Sasa nimekuwekea.
Ni kwa sababu hiyo ni ya ndani ya mkoa ambayo haina lami.Kama ulimaanisha hata zilizoko ndani ya mikoa zinazounganisha wilaya basi weka kwenye mikoa yote.
 
Ni kwa sababu hiyo ni ya ndani ya mkoa ambayo haina lami.Kama ulimaanisha hata zilizoko ndani ya mikoa zinazounganisha wilaya basi weka kwenye mikoa yote.
Toa ujinga hapa,hiyo ni sehemu ya Barabara kuu ya T1 kutoka Tunduma-Sumbawanga-Mpanda-Uvinza-Kasulu-Kibondo-Mutukula.

Usiwe unaongea vitu usivyovijua na zingarua hili huwezi Toka Bukoba ukafika Kigoma mjini bila kula vumbi.
 
Utakuwa unaishi Canada.Nyie mlikuwa mnaishi Kwa propaganda za Mwendazake.

Sasa Kwa taarifa Yako Barabara zifuatazo ni vumbi tupu.

Kigoma-Tabora
Mpanda-Sumbawanga
Kigoma-Mpanda
Morogoro -Songea
Mbeya-Tabora
Mbeya-Singida
Arusha-Musoma
Arusha-Simiyu
Njombe-Morogoro via Ifakara.
Mtwara-Masasi via Tandahimba
Morogoro -Lindi
Kigoma-Kagera

Hiyo ni Baadhi tuu ya Barabara kuu za Mikoa kwa Mikoa ambazo zimejaa mavumbi au Baadhi ya vipande Bado ni mavumbi.
Maendeleo ni mchakato wa muda mrefu ulitaka amalize kujenga zote?
 
Wewe ulitaka tutawaliwe na Koo zipi Kwa majina na idadi? Ukomo wako ndio wa maana au? Kama kujenga Barabara sio jambo la maana Sasa wewe kwako la maana ni lipi?
Kama ni hivyo basi hatukuwa na sababu ya kuwaondoa wakoloni wsliotuachia Mv Liemba ambayo ndiyo tegemeo la wanakigoma kwa zaidi ya miaka 100! Na walijenga reli kwa kutembea kwa miguu toka Dar, Kigoma, Mwanza, Mpanda na Singida, pia waliunganisha miji kwa barabara na kutuachia Ikulu ya Dar.
Kumbuka Samia ni hivi karibuni alisema nchi tulizopata uhuru nazo zimeendelea sisi tunafeli wapi, wewe unaons lami ndiyo maendekeo!
 
Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.

Imagine Hadi Leo hii huwezi fika Kigoma bila kutembea kwenye mavumbi na hali Iko hivyo kwenye Mikoa Mingi sana.

Sasa kipele kimepata mkunaji ambao km 51 zilizosalia zinaenda kukamilika kabla ya desemba 2024 hivyo Kigoma-Dar itakuwa lami.Kazi hii ya kutukuka anaifanya Rais Samia.


View: https://www.instagram.com/p/Cxr9S90sNAh/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Machawa kama nyie ndo mmesambazwa Kila mahari ila ukuu wa JPM hata usiposemwa na sisi utaimbwa na ndege
 
Njombe-Morohoro?
Au unamaanisha Njombe-Morogoro mimi naishi Dar es Salaam nasafiri hadi Makete ni lami tu.
Kwahiyo anayesafiri toka Dar mpaka Manerumango kwenye barabara ya vumbi apingane na wewe kuwa hajafanya lolote!
 
Machawa kama nyie ndo mmesambazwa Kila mahari ila ukuu wa JPM hata usiposemwa na sisi utaimbwa na ndege
Ukuu wa propaganda 🤣🤣 Onyesha Mikoa mliyounganisha na lami maana Samia atasema nilikuta Kigoma-Tabora hakuna lami nikaunganisha 😂😂

Na tuzo alipewa
 
Kama ni hivyo basi hatukuwa na sababu ya kuwaondoa wakoloni wsliotuachia Mv Liemba ambayo ndiyo tegemeo la wanakigoma kwa zaidi ya miaka 100! Na walijenga reli kwa kutembea kwa miguu toka Dar, Kigoma, Mwanza, Mpanda na Singida, pia waliunganisha miji kwa barabara na kutuachia Ikulu ya Dar.
Kumbuka Samia ni hivi karibuni alisema nchi tulizopata uhuru nazo zimeendelea sisi tunafeli wapi, wewe unaons lami ndiyo maendekeo!
Kuwa na Viongozi wa hovyo wenye bipaombele vyao badala ya bipaombele vya Wananchi ndio vimetufikiwha hapa.

Mwananchi gani anahitaji Sgr kuliko Barabara?
 
Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.

Imagine Hadi Leo hii huwezi fika Kigoma bila kutembea kwenye mavumbi na hali Iko hivyo kwenye Mikoa Mingi sana.

Sasa kipele kimepata mkunaji ambao km 51 zilizosalia zinaenda kukamilika kabla ya desemba 2024 hivyo Kigoma-Dar itakuwa lami.Kazi hii ya kutukuka anaifanya Rais Samia.

==============

BADO KM 51.1 KUUNGANISHA TABORA-KIGOMA KWA LAMI

IMEELEZWA kuwa bado kilomita 51.1 ili kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa barabara ya lami na hivyo kuandika historia ya aina yake nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Tabora- Kigoma sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 na Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1.

“Kwa kweli nimeridhika na kasi ya ujenzi sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 ambayo ujenzi wake umefikia asilimia 99”, amesema Eng. Kasekenya.

Naibu Waziri huyo amemtaka mkandarasi STECOL Cooperation Ltd anayejenga sehemu ya Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1 kufanya kazi usiku na mchana ili kuandika historia ya kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa lami mapema iwezekanavyo.

Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Kigoma Eng. Narcis Choma amesema ujenzi huo umefikia asilimia 45 na watamsimamia kikamilifu mkandarasi ili maeneo yanayoweza kuathiriwa na mvua yakamilishwe mapema ili kuepuka visingizio na kuwawezesha wasafiri na wasafirishaji wa mikoa hiyo kunufaika na barabara ya kisasa.

Zaidi ya shilingi bilioni 62.7 zinatumika katika ujenzi huo ambazo ni matapo ya ndani na mkopo nafuu kutoka mifuko ya OPEC na Abu Dhabi.

Katika hatua nyingine Naibu Waziri Kasekenya amemtaka Mbunge wa Urambo Mhe. Margareth Sitta kuhamasisha wananchi wa jimbo hilo kulinda miundombinu inayojengwa katika jimbo hilo ikiwemo taa na alama za barabarani ili kuepusha ajali na kuendana na kasi ya Serikali ya kupendezesha barabara nchini.

“Tunawajengea barabara na mzunguko wa kisasa round about ili kupunguza ajali eneo lililokuwa na kona kali na kutengeneza taswira nzuri ya Urambo hivyo hakikisheni miundombinu hii inalindwa na kuendelezwa kwani inatumia fedha nyingi za Serikali “, amesisitiza Naibu Waziri Kasekenya.

Kwa upande wake Mhe. Margareth Sitta ameishukuru Serikali kwa uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya kisasa katika wilaya ya Urambo na kuahidi kutoa elimu kwa wananchi kuthamini uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali ili kuchochea maendeleo ya wananchi.
Naomba na status ya ujenzi ya barabara ya Tabora kwenda Mbeya kupitia Itigi ! Je bado kilomuta ngapi?
 
Naomba na status ya ujenzi ya barabara ya Tabora kwenda Mbeya kupitia Itigi ! Je bado kilomuta ngapi?
Bado za kutosha sana hiyo haiishi Leo Wala kesho ila section ya Mkiwa-Itigi Kuna mkandarasi.

Makongolosi-Rungwa-Ipole yupo Mwanzo huko ila ni wa Kuunga unga.
 
Utakuwa unaishi Canada.Nyie mlikuwa mnaishi Kwa propaganda za Mwendazake.

Sasa Kwa taarifa Yako Barabara zifuatazo ni vumbi tupu.

Kigoma-Tabora
Mpanda-Sumbawanga
Kigoma-Mpanda
Morogoro -Songea
Mbeya-Tabora
Mbeya-Singida
Arusha-Musoma
Arusha-Simiyu
Njombe-Morogoro via Ifakara.
Mtwara-Masasi via Tandahimba
Morogoro -Lindi
Kigoma-Kagera

Hiyo ni Baadhi tuu ya Barabara kuu za Mikoa kwa Mikoa ambazo zimejaa mavumbi au Baadhi ya vipande Bado ni mavumbi.
Kigoma Tabora ni kipande kidogo sana ndo vumbi.
Kigoma Kagera vumbi ni kipande cha Kasulu Kibondo tu.
 
Huo ni wajibu wa kiongozi yoyote aliye madarakani kuhakikisha huduma bora kwa jamii sasa asifiwe wakati ndivyo ilitakiwa afanye.
 
Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.

Imagine Hadi Leo hii huwezi fika Kigoma bila kutembea kwenye mavumbi na hali Iko hivyo kwenye Mikoa Mingi sana.

Sasa kipele kimepata mkunaji ambao km 51 zilizosalia zinaenda kukamilika kabla ya desemba 2024 hivyo Kigoma-Dar itakuwa lami.Kazi hii ya kutukuka anaifanya Rais Samia.

==============

BADO KM 51.1 KUUNGANISHA TABORA-KIGOMA KWA LAMI

IMEELEZWA kuwa bado kilomita 51.1 ili kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa barabara ya lami na hivyo kuandika historia ya aina yake nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Tabora- Kigoma sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 na Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1.

“Kwa kweli nimeridhika na kasi ya ujenzi sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 ambayo ujenzi wake umefikia asilimia 99”, amesema Eng. Kasekenya.

Naibu Waziri huyo amemtaka mkandarasi STECOL Cooperation Ltd anayejenga sehemu ya Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1 kufanya kazi usiku na mchana ili kuandika historia ya kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa lami mapema iwezekanavyo.

Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Kigoma Eng. Narcis Choma amesema ujenzi huo umefikia asilimia 45 na watamsimamia kikamilifu mkandarasi ili maeneo yanayoweza kuathiriwa na mvua yakamilishwe mapema ili kuepuka visingizio na kuwawezesha wasafiri na wasafirishaji wa mikoa hiyo kunufaika na barabara ya kisasa.

Zaidi ya shilingi bilioni 62.7 zinatumika katika ujenzi huo ambazo ni matapo ya ndani na mkopo nafuu kutoka mifuko ya OPEC na Abu Dhabi.

Katika hatua nyingine Naibu Waziri Kasekenya amemtaka Mbunge wa Urambo Mhe. Margareth Sitta kuhamasisha wananchi wa jimbo hilo kulinda miundombinu inayojengwa katika jimbo hilo ikiwemo taa na alama za barabarani ili kuepusha ajali na kuendana na kasi ya Serikali ya kupendezesha barabara nchini.

“Tunawajengea barabara na mzunguko wa kisasa round about ili kupunguza ajali eneo lililokuwa na kona kali na kutengeneza taswira nzuri ya Urambo hivyo hakikisheni miundombinu hii inalindwa na kuendelezwa kwani inatumia fedha nyingi za Serikali “, amesisitiza Naibu Waziri Kasekenya.

Kwa upande wake Mhe. Margareth Sitta ameishukuru Serikali kwa uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya kisasa katika wilaya ya Urambo na kuahidi kutoa elimu kwa wananchi kuthamini uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali ili kuchochea maendeleo ya wananchi.
Acha ujinga chawa wewe. Huenda ni kinda hapo mungu akusamehe. Kama zimebakia km 51 jiulize hizo zingine nani kasimamia. Jpm amekua waziri wa ujenzi miaka 20 kabla hajakua rais na yeye ndie aliyesimamia ujenzi mkubwa barabara za lami nchi hii. Alipoanza jpm ilikua kwenda mwanza toka dar lazima upite kenya na uganda. Kama unampapatikia mama kua na adabu kwa wale tunaomuenzi jpm.
 
Acha ujinga chawa wewe. Huenda ni kinda hapo mungu akusamehe. Kama zimebakia km 51 jiulize hizo zingine nani kasimamia. Jpm amekua waziri wa ujenzi miaka 20 kabla hajakua rais na yeye ndie aliyesimamia ujenzi mkubwa barabara za lami nchi hii. Alipoanza jpm ilikua kwenda mwanza toka dar lazima upite kenya na uganda. Kama unampapatikia mama kua na adabu kwa wale tunaomuenzi jpm.
Wewe sio tuu mjinga Bali mpumbavu.Miaka 20 Waziri wa Ujenzi na ukawa Rais still ukashindwa Kuunganisha Mkoa Kwa Mkoa Kwa lami?

Wapuuzi kama nyie ndio mnaona ni kitu Cha maana ila ulichukua ratio hapo unaona ni berry failures
 
Back
Top Bottom