Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Ni wajibu wa serikali wala haliitaji sifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajambe huko kama una ushuzi.Rubbish gani Sasa,huu ndio ukweli hakuna kitu Cha maana alifanya Mwendazake kwenye Barabara Nchi hii badla yake Samia ndio ataweka historia.
Mwamba wewe andika ya kwako ila siyo kupambana na Mwendazake. Huku kwetu alijukana kama Terabyte brain.Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.
Inaonekana ndugu yangu utembei kabisa ila kwa sasa bado maeneo machache kama vile Tabara/Kigoma , Mbeya/Singida kupitia Chunya, Mbeya/TaboraAiseee sijawahi kufikiri kuwa mpaka Sasa kuna barabara ya mkoa wowote Tanzania haina lami.
CCM ilaaniwe kwa uovu na wizi
Kwani Makosa yanapofanyika analaumiwa Samia au Serikali?Kwani anayeunganisha ni Samia au ni Serikali ?
Mkuu kwa Sumbawanga/Mpanda kuna Rami sio vumbiUtakuwa unaishi Canada.Nyie mlikuwa mnaishi Kwa propaganda za Mwendazake.
Sasa Kwa taarifa Yako Barabara zifuatazo ni vumbi tupu.
Kigoma-Tabora
Mpanda-Sumbawanga
Kigoma-Mpanda
Morogoro -Songea
Mbeya-Tabora
Mbeya-Singida
Arusha-Musoma
Arusha-Simiyu
Njombe-Morogoro via Ifakara.
Mtwara-Masasi via Tandahimba
Morogoro -Lindi
Kigoma-Kagera
Hiyo ni Baadhi tuu ya Barabara kuu za Mikoa kwa Mikoa ambazo zimejaa mavumbi au Baadhi ya vipande Bado ni mavumbi.
Hujui kitu wewe,Kwa hiyo ukifika pale Kizi Hadi Sitalike au kibaoni hadi Sitalike Kuna lami? Ulijenga wewe?Mkuu kwa Sumbawanga/Mpanda kuna Rami sio vumbi
Kwenu wapi?Mwamba wewe andika ya kwako ila siyo kupambana na Mwendazake. Huku kwetu alijukana kama Terabyte brain.
Bado ila mwezi mmoja uliopita nimepita nimeacha mkandarasi anaendelea na kazi km75 mpaka kitundaKwani ameunganisha Tabora Mbeya kwa lami kupitia Sikonge?
Upuuzi upi tena? Kazi ya kutandaza lami inaendelea ,Samia sio ropo ropo Bali kazi tuuRubbish, mbinu yenu ya kusifia upuuzi imebuna njoo na mbinu mpya
Wewe ndio ujui kitu eneo lile aliwekwi lami kwa sababu ni mapito ya Wanyama/mazingira sio kuwa Serikali imeshindwa kuweka lamiHujui kitu wewe,Kwa hiyo ukifika pale Kizi Hadi Sitalike au kibaoni hadi Sitalike Kuna lami? Ulijenga wewe?
Kazi inaendelea hakuna Kipande kitabakia na vumbi Tanzania hii chini ya Uongozi wa SamiaKwani ameunganisha Tabora Mbeya kwa lami kupitia Sikonge?
Upuuzi upi tena? Kazi ya kutandaza lami inaendelea ,Samia sio ropo ropo Bali kazi tuu
View: https://youtu.be/1IFadI-rYzo?si=35Psd9QT9P_tZ_G0
Hawa vichaa hata akija Rais mpuuzi namna gani watasifia wakisubiri teuzi, tatizo hafanyi kazi akili zinawaza kuteuliwa.Wakati mwingine muwe mnaacha porojo.hiyo njia kwa wengine tunaijua kuliko iliyeandikwa huo uchafu.barabara ameanza nayo jk akaja Jpm na sasa SSH na ikumbukwe kipindi cha jk mtendaji alikuwa Magu pia hata huyo SSH alichaguliwa na Magu sasa sijui hiyo gut ya kuandika huo upuuzi umepata wapi.
Bwashe hata katavi,uvinza hakuna lami,kibondo hadi kasuku ni lami vipande hiki chama kwa sasa ni uchawa tu umebakiAiseee sijawahi kufikiri kuwa mpaka Sasa kuna barabara ya mkoa wowote Tanzania haina lami.
CCM ilaaniwe kwa uovu na wizi
Upuuzi,Kwa hiyo Mikumi hakuna lami?Wewe ndio ujui kitu eneo lile aliwekwi lami kwa sababu ni mapito ya Wanyama/mazingira sio kuwa Serikali imeshindwa kuweka lami