ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #61
Maumivu ya wivu 😂😂😂Hawa vichaa hata akija Rais mpuuzi namna gani watasifia wakisubiri teuzi, tatizo hafanyi kazi akili zinawaza kuteuliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maumivu ya wivu 😂😂😂Hawa vichaa hata akija Rais mpuuzi namna gani watasifia wakisubiri teuzi, tatizo hafanyi kazi akili zinawaza kuteuliwa.
Mwamba kwa.lipi? Hata Diamond anajiita dangote wewe unaona analingana hata robo ya dangote kwa.pesa?Usimlinganishe mwamba JPM na takataka
Kwa uchawa wa nchi hizi ni Zama hata kodi zinalipwa na SHKwani anayeunganisha ni Samia au ni Serikali ?
🔨🔨🔨🔨🤣🤣🤣😁😁😁😁Huu ujinga kamuonyeshe mumeo, eti maendeleo maendeleo ya kipuuzi, pesa zina pigwa, hakuna mafuta, maji, dola, gas, umeme n.k
Inahitaji kutukanwa sio sifa au siyo? 😂😂Ni wajibu wa serikali wala haliitaji sifa
Baada ya hapo ndiyo pale watu watakapokuja kugundua kuwa Kigoma ni moja ya mikoa potential na strategic iliyopo tanzania.Tukiwaambia kwamba hakuna alichofanya Cha maana Mwendazake kwenye Barabara za lami wakati wa Uongozi wake muwe mnaelewa.
Imagine Hadi Leo hii huwezi fika Kigoma bila kutembea kwenye mavumbi na hali Iko hivyo kwenye Mikoa Mingi sana.
Sasa kipele kimepata mkunaji ambao km 51 zilizosalia zinaenda kukamilika kabla ya desemba 2024 hivyo Kigoma-Dar itakuwa lami.Kazi hii ya kutukuka anaifanya Rais Samia.
==============
BADO KM 51.1 KUUNGANISHA TABORA-KIGOMA KWA LAMI
IMEELEZWA kuwa bado kilomita 51.1 ili kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa barabara ya lami na hivyo kuandika historia ya aina yake nchini.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Tabora- Kigoma sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 na Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1.
“Kwa kweli nimeridhika na kasi ya ujenzi sehemu ya Kazilambwa-Chagu yenye urefu wa KM 36 ambayo ujenzi wake umefikia asilimia 99”, amesema Eng. Kasekenya.
Naibu Waziri huyo amemtaka mkandarasi STECOL Cooperation Ltd anayejenga sehemu ya Malagarasi-Ilunde-Uvinza KM 51.1 kufanya kazi usiku na mchana ili kuandika historia ya kuunganisha mikoa ya Tabora na Kigoma kwa lami mapema iwezekanavyo.
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Kigoma Eng. Narcis Choma amesema ujenzi huo umefikia asilimia 45 na watamsimamia kikamilifu mkandarasi ili maeneo yanayoweza kuathiriwa na mvua yakamilishwe mapema ili kuepuka visingizio na kuwawezesha wasafiri na wasafirishaji wa mikoa hiyo kunufaika na barabara ya kisasa.
Zaidi ya shilingi bilioni 62.7 zinatumika katika ujenzi huo ambazo ni matapo ya ndani na mkopo nafuu kutoka mifuko ya OPEC na Abu Dhabi.
Katika hatua nyingine Naibu Waziri Kasekenya amemtaka Mbunge wa Urambo Mhe. Margareth Sitta kuhamasisha wananchi wa jimbo hilo kulinda miundombinu inayojengwa katika jimbo hilo ikiwemo taa na alama za barabarani ili kuepusha ajali na kuendana na kasi ya Serikali ya kupendezesha barabara nchini.
“Tunawajengea barabara na mzunguko wa kisasa round about ili kupunguza ajali eneo lililokuwa na kona kali na kutengeneza taswira nzuri ya Urambo hivyo hakikisheni miundombinu hii inalindwa na kuendelezwa kwani inatumia fedha nyingi za Serikali “, amesisitiza Naibu Waziri Kasekenya.
Kwa upande wake Mhe. Margareth Sitta ameishukuru Serikali kwa uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya kisasa katika wilaya ya Urambo na kuahidi kutoa elimu kwa wananchi kuthamini uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali ili kuchochea maendeleo ya wananchi.
Ni kukosa akili pekee, wakoloni waliteta shule, makanisa, misikiti, hospitali, reli, barabara, maji n.k lakini bado tuliona hawafai, tuna taka vitu vikubwa, ni aibu na ujinga leo hii nchi kuwa gizani huku mito, gas, misitu, mapori, mifugo, maziwa, bahari unavyo unazidiwa na Zambia ambao wanategemea bwawa pekee.Maumivu ya wivu 😂😂😂
Kwa kweli akili za wewe labda ni za matopeni sababu mwenye akili timamu hawezi andika huo uchafu.Rubbish gani Sasa,huu ndio ukweli hakuna kitu Cha maana alifanya Mwendazake kwenye Barabara Nchi hii badla yake Samia ndio ataweka historia.
Vyote vitakuja baada uchumi kufunguka maana hata umeme ni tia maji tia maji.Baada ya hapo ndiyo pale watu watakapokuja kugundua kuwa Kigoma ni moja ya mikoa potential na strategic iliyopo tanzania.
Kigoma ni mkoa usiokuwa na majengo ya maghorofa, ila una hali ya hewa na ardhi yenye rutuba ambayo mikoa iliyo mingi Tanzania haina.
Kama walikijengea shule Kwa nini mama Yako hakusoma?Ni kukosa akili pekee, wakoloni waliteta shule, makanisa, misikiti, hospitali, reli, barabara, maji n.k lakini bado tuliona hawafai, tuna taka vitu vikubwa, ni aibu na ujinga leo hii nchi kuwa gizani huku mito, gas, misitu, mapori, mifugo, maziwa, bahari unavyo unazidiwa na Zambia ambao wanategemea bwawa pekee.
lamiMkuu kwa Sumbawanga/Mpanda kuna Rami sio vumbi
Hata kama ni uchawa kwa mama huwezi kudharau alichofanya jpm kwenye barabara kiasi hicho...Hoja ni vumbi na vyote vilimshinda Mwendazake na mama anaenda kufuta vumbi.
Hakilingani na sifa mnazompa.Samia anajenga takribani km 4,000 Kwa mpigo hizi ni Barabara kuu pekee sijazungumzia Tarura.Hata kama ni uchawa kwa mama huwezi kudharau alichofanya jpm kwenye barabara kiasi hicho...
Ingawaje Kikwete set it all in motion kwenye barabara.
Watu huwa wanai-rate Kigoma kwa kuangalia maghorofa pale mjini.Vyote vitakuja baada uchumi kufunguka maana hata umeme ni tia maji tia maji.
Narudia!Mwamba kwa.lipi? Hata Diamond anajiita dangote wewe unaona analingana hata robo ya dangote kwa.pesa?
Inahitaji kutukanwa sio sifa au siyo? [emoji23][emoji23]
Wewe taktaka hizo km zinajengwa wapi?Hakilingani na sifa mnazompa.Samia anajenga takribani km 4,000 Kwa mpigo hizi ni Barabara kuu pekee sijazungumzia Tarura.
Nani aliwahi kujenga hivyo? Rais yupi? Ni mwendo wa facts tuu.
Mwisho bila kuongozwa Mwendazake hawezi kitu ndio maana rekodi yake kubwa ni akiwa chini ya Mkapa na JK ila alipokuwa yeye Rais hakuna Cha maana alifanya kwenye Barabara.
"Anajenga takribani km 4000"Hakilingani na sifa mnazompa.Samia anajenga takribani km 4,000 Kwa mpigo hizi ni Barabara kuu pekee sijazungumzia Tarura.
Nani aliwahi kujenga hivyo? Rais yupi? Ni mwendo wa facts tuu.
Mwisho bila kuongozwa Mwendazake hawezi kitu ndio maana rekodi yake kubwa ni akiwa chini ya Mkapa na JK ila alipokuwa yeye Rais hakuna Cha maana alifanya kwenye Barabara.
Mama anaufungua Mkoa wa Kigoma kama ifuatavyoWatu huwa wanai-rate Kigoma kwa kuangalia maghorofa pale mjini.
Kigoma ni mkoa mzuri mno ambao unaweza ukawa among the TOP 5 nchi hii. Subiri hii bararbara ikamilike, halafu watu watakuja kuona ndani ya miaka michache ijayo. Kigoma ina kila kitu isipokuwa maghorofa, halafu pia iko mpakani
Hakuna Cha uchwara ni facts tuu hata kama hutaki.Zinamalizika mwaka Hadi mwaka ndio maana ya takwimu."Anajenga takribani km 4000"
Subiri azimalize hizo km ndo ulete uchawa.
Hizi barabara zimekuwa za kupokezana ujenzi tokea enzi za Mwinyi.Unless umeajiriwa juzi na wizara ya ujenzi/tanroads maana una vitakwimu vya afisa anayetumwa kufanya monitoring kwenye ujenzi.