Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Kumsifia Makonda na style yake ya Uongozi ,ni dalili za Uchawa Mwandamizi!
 
Tatizo la hiki chuma Ni kwamba, bado Ni chuma ghafi (unrefined, uncultured, untrained)
Tatizo jingine Ni elim dunia yake Ni ndogo sana, anahitajika madrasatul El siasa.
Apunguze PAPARA na kuongea Sana..
MTU anaye ongea Sana sio tishio. Ogopa mkimya.
 
Acha Bangi mkuu😠😠😠 umezeeka tayari mzee baba.
Hakuna masrahi ya Taifa Kenge nyie
Mwaka wa ngapi mpo madarakani!?.
Mbona matatizo yoote ni mazao ya viongozi WA CCM!😁😁.
Unatuchefua na matapishi yako.
Mnaangamiza Taifaafu bado mnajinasibu uzuri mbulukenge nyie👃.
Acha BANGI mkuu,ningekuwa wewe,ingefikia nikaona aibu
Lakini kwa vile ni uzao WA KENGE KIJANI KIBICHI.Endelea kutuchefua
Siku vyombo vya usalama vitakapojitambua,viongozi wake watakapo ridhika na pensheni zao wasitegemee teuzi Tena,hakuna rangi mtaacha ona.
Ukimaindi fresh,usipomaind jirekebishe.
 
Angejisafisha kwanza maana ana kashfa mbaya sana mtu huyu na kuna tetesi mikono yake inanuka damu za watu, labda kama anasifiwa chuma kwa maslahi ya ccm na sio watanzania.
 
Makonda Hafai kuwa kiongozi katika nchi hii.Amelalamikiwa sana na mpaka leo anatajwa kutenda madhila mengi dhidi ya wananchi wenzie..amewahi kutajwa na Nchi kama Marekani kwamba anazuia haki za watu kuishi..kuzuia haki yangu kuishi manake mnaijua?? lakini kingine ni utofauti na Magufuli ..Yeye Magufuli alikua na maono na mipango mizuri sana ambayo ukimsikia huyu Makonda hana zaidi ya mtu wa kutishia watu ila hana mpango wala maono ni mweupee kichwani anaejipanga kutumia media kumpaisha aonekane anakubalika lakini hana lolote ndio mana hata Ubunge alipigwa vibaya sana...

Kama Socrates alivyosema Demokrasia itatuleta watu wa hovyo sana kushika madaraka na wageuke kuwa wabaya sana huyu Makonda ni janga linaloiva.
 
Ubishi wa mwanadamu hauwezi kuzuia mipango ya MUNGU

Mungu atakaloamua na liwe, ikiwa MKonda atakuwa, na awe, kupingana na Mungu ni kujichosha
Sijui Mungu gani, lakini Mungu ninayemjua mimi amempa mwanadamu uwezo mkubwa wa kujisimamia (utashi). Kuamua zuri na baya ni utashi wako.
Unapewa fursa ya kufanya maamuzi halafu unafanya vibaya kisha unamsingizia Mungu. Mungu wa wapi huyo?
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Tatizo lako ni ukabila, hatumtaki kiongozi muuaji, mtekaji, mtekaji kama Magufuli na Makonda wake.
 
Nonsense!.....aina ya watu unaowaita vyuma hawawezi kuwaongoza watu wenye akili ya sasa(generation hii)hao vyuma walitakiwawaongoze miaka ya 80 kushuka chini ambako kulikuwa na watu wenye akili za kizamani(kama zako)

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Kwanini Mwenyekiti asifanye uamuzi mgumu,mambo mengine tutasahihisha mbele ya safari;
Makamu Mwenyekiti-Polepole
Katibu Mkuu-Makonda
Naibu Katibu Mkuu-Ali Hapi
Katibu Mwenezi-Sabaya
Mama Kizimkazi akae atulie ikulu akipiga Jicho na kula vichwa tu!
"Huu mziki kuna watu wenye uraia pacha bubu,hatuwajui ila watakimbia kwenda uhamishoni"


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Looh!! Bagosha!!

Hivi DAB amekuwa chuma??? Hivi hujiskii Aibu kabisa kwa bandiko lako hili?????
 
Sisi kama Taifa tukitawaliwa na hiko bumunda tutakuwa tumepotea! Ubaya halina hekima hata kidogo!
 
Maadui hawa ni maadui kweli kweli vita hivi ni vita vya kweli.

Umasikini
Ujinga.
Mafadhi

Mwalimu J k Nyerere 1961.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
daah umekata pumzi kaka nimesoma cjaelewa
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, leo ni swali tuu kuhusu hiki Chuma kipya.

Baada ya mtu kupelekewa moto na akaachia ngazi mwenyewe, bado kuna ubishi kuwa hili ingizo jipya ni chuma cha ukweli kama chuma cha Mjerumani?. Je chuma hiki ni chuma kipya kingine ila ni kinafana tuu kama kile chuma au chuma hiki ni chuma kile kile kimerejea kivingine?!

Hili ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, yaani an hypothetical situation ya just thinking aloud by imaginations, hiki chuma ni cha moto!. Kwa wale walionisoma hapa Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... wakanielewa, wakilisoma bandiko hili watanielewa!, lakini kwa wasio elewa someni tuu na maisha yaendelee!

Naomba nianze na hadithi hii fupi.

Ikumbukwe Masiha alikuja kwa ajili ya taifa la Mungu, ila alikataliwa na wale aliokuja kuwakomboa na wakamsulubisha!, ila ni kwa kuteswa kwake na kwa kupigwa kwake, sisi tumeponywa!

Hivyo ndivyo Taifa letu la Tanzania lilivyo, ni taifa la Mungu. Mungu akatuletea mkombozi Nyerere, akamtwaa kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi.

Taifa likayumbayumba, hapa katikati kwa kufanywa kichwa cha Mwendawazimu huku kiuchumi tukifanywa ni shamba la bibi!, tukamlilia Mungu atuletee mkombozi mwingine, Baba Mungu akakisikia kilio chetu akatuletea Magufuli. Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Chuma hiki kiliinyoisha nchi!, na nchi ikaanza kunyooka, vyuma vilikaza watu wakaanza kupiga mayowe, na kama ilivyo kwa manabii wengine Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika, kelele zilipozidi, mwishowe Mungu akamtwaa na kumchukua kwake mbinguni, kabla ya kutufikisha nchi ya ahadi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani.

Baada ya kumtwaa Magufuli, Mungu akatuletea Samia. Magufuli alikuwa chuma na alitawala taifa hili kwa mkono wa chuma, hivyo JPM alikuwa ni chuma!, ila Samia.

Tuambizaze ukweli, Rais Samia sio chuma kivile kwa uchuma wa Magufuli type, ila yeye naye ana uchuma wake kupitia jicho!. Rais Samia ana jicho hilo!, linaona kila mahali na kila pahala!. Sasa ili mambo yaende, hili taifa linahitaji chuma cha kulikimbiza mchaka mchaka!. Jicho la Mama Samia lika kispoti chuma fulani kikiwa kipo tuu!, Samia akakisajili chuma hiki na kukiita kumsaidia kule kwenye chama!, na kusema ukweli kilikuja moto, kwa mwendo wa mchamchaka, alianza kuwakimbiza kwa kuanza na kinara wao kwa kupewa ultimatum!, kisha mawaziri na watendaji wakaanza kuperekeshwa!

Mara yakaibuka mayowe kila kona!

Ndani ya CCM pia kuna baadhi ya makapi yalikuwa yamedanda, na kujishikiza kwa kujibananisha kama luba!, baada ya chuma kuingia baadhi ya makapi haya, yakapelekewa moto! yakaanza kuishiwa nguvu, yakaanza kushindwa na kulegea!, baadhi yao ndio hawa sasa wameanza kuachia ngazi mwenyewe kwa kutafuta visingizio!

Ni baada ya makapi haya kuanza kuachia ngazi, ndio sasa macho yangu yameanza kufunuka na kuona kwa hakika hakuna ubishi kuwa hiki ni chuma!. Swali ni, je chuma hiki ni chuma kingine ila ni kinafanana kama kile chuma, au chuma hiki ni chuma kilekile kimerejea kivingine?, ili kuja kuikamilisha kazi ya ukombozi mpya wa taifa letu!

Ili kujua kama hiki ni chuma kile kile au ni chuma kipya karibu mitaa hii Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

CCM inazidi kuimarika, kupendwa na kukubalika, hadi makapi ya ndani ya chama, yameanza kujichuja yenyewe!!, si mnaona!

Na hapa ndio mwanzo tuu wa hizi amsha amsha!, kama ni mvua, hii ni rasha rasha tuu!, mvua halisi ni 2025!.

Ila pia kijana ni msikivu sana, alianza kwa moto sana, tukampooza Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! sasa anakwenda vizuri!.

Na kwa vile humu umezuka mtindo ukimkubali mtu ukamsifia na kumpongeza, huchelewi kuitwa chawa!,
angalia huyu dogo sisi kaka zake, tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni.

Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .

Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!

Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM! Apunguze.

Hivyo wandugu, kama hiki chuma ni kile kile, then kaeni mkao wa mguu sawa!, 2025 mambo ni yale yale na vile vile!. Msije kusubiria mpaka 2025 mambo yakatokea kivile, watu ndio mkaanza kupiga kelele baada ya mambo kutokea, msije kusema hamkujua, tumewaambia mapema kabisa mkae mkijua chuma bado kipo!

Kiukweli kabisa kuna watu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!

Nawatakia Ijumaa Kareem

Paskali.
Binafsi namkubali Makonda kwa uthubutu wake na haogopi mtu. Yuko creative na ana maono yake. Nchi hii hatujitaji viongozi ambao hawana hata maono.
 
Back
Top Bottom