Bado kuna wazazi wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili

Hakuna tatizo hapo.

Ikitokea Mzee akaoa mke mdogo/akaongeza mke wakati mwanae mkubwa ndio ameoa hilo haliepukiki na hakuna tatizo kabisa.
Mkuu, mimi sizungumzii suala la mke mdogo kwa maana mke mdogo hana mjukuu mpaka watoto wake watakapozaa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
I hate that behavior. Sio tu baada ya kuolewa; mwanao wa kwanza akishapevuka ni kukosa maadili mama kuendelea kubeba mimba.
Naam [emoji419][emoji419]
 
Sasa shida ipo wapi mkuu?
Shida ni mwanamke kuzaa au shida ni binti yako kuolewa?

Kwani unachokifanya wewe kwa mkeo na anachofanya mume wa mkeo kwa binti yenu,,, kina tofauti tofauti gani?..

Kwahyo unamaanisha binti yako akiolewa na wewe umwache mama yake,,?
 
mwafrika mimi hata usiniletee habari hizo:

kama mama bado anayo mayai na yupo katika umri salama wa kuzaa na ninahitaji mtoto; anazalishwa mara moja.

kama mama ana miaka 35 na binti yake wa kwanza na pekee mwenye miaka 18 aliyempata akiwa na miaka 17 naye ni mjamzito.....wala sisiti kumpachika mimba kwa sababu hiyo. utakuwa ni ujinga kuacha kuijaza dunia kwa vijisababu ambavyo ni maoni 'opinion' tu za watu na sio 'fact'.

kwangu kipaumbele ni; je, tunahitaji mtoto? je, ni salama kwa mama kujifungua sasa? basi!

mkuu Jurjana, tujuze suala hili katika msimamo wa kidini tafadhali!!!
 
Sawa mzee baba. Sasa baada ya kuzaa na miaka hiyo 17 alikuwa anafanya nini hapa kati mpaka aje kuzaa mtoto wa pili na umri wa miaka 35?
 
Aisee kila mtu nana Mungu .9((?.((.(,mimi nina watoto 5 wa 14yrs yupo form 2.. mwisho

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…