Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #101
Mtu anayejenga hoja kwa matusi ninamuwekaga IGNORE LIST. I have no time for nonesense.We pimbi kuzaa sio ujinga bali kuacha kuzaa kisa binti yako keshadungwa mimba huo ndio ujinga haswaa
GoodNaunga mkono!
Kwa makabila ya mkoa wa mara baba na mtoto wanaweza kutofautiana miaka miwili. How possible:
Mahitaji yao ya muhimu ni pamoja na mapenzi ya baba ambaye ana miaka 61 anakaribia kufa...Kila mtu na maisha yake.... Muhimu wapate mahitaji yao ya muhimu...
Maziwa unakamua tu kwa ng’ombe au mbuziHuku kwetu vijijini tuna uwezo huo, chakula tele mashamba na hata nguvu pendwa uhakika... huko mjini dhiki nyingi chumba kimoja cha kupanga unadhani wote tunaishi hivyo?
Aah 60 is a new 40 dear, siku hizi wakaka wa 60 ndiyo wanatutongoza humu JF.Mahitaji yao ya muhimu ni pamoja na mapenzi ya baba ambaye ana miaka 61 anakaribia kufa...
Jichunguze utagundua kuwa wewe ndio huna akili.
Umekariri life ya kizungu bila kuchuja hata moja.
Km uchumi wangu upo stable acha nipate hata watoto 50.
Kupanga uzazi kwangu ni big NO!
Hahahaaaa eti wakaka wa 60Aah 60 is a new 40 dear, siku hizi wakaka wa 60 ndiyo wanatutongoza humu JF.
Huwa ninajifunza mengi sana kupitia uandishi pamoja na ideas zako. Be blessed.Uko sahihi, kama uwezo unaruhusu zaa sana tena sana ila pia jaribu kuweka mipangilio katika kuzaa kwako!
Anza mapema kisha maliza mapema ili kujipa muda wewe wa kutafuta na kujenga misingi imara ya familia ili hata kuanzia mwanao wa mwanzo apate muda wa kufundishwa na mwalimu wake wa kwanza maishani (baba & mama)!
Tusijisahau familia sio baba mama na watoto tu , maana kadri muda unavyosogea wajukuu na wakwe wa kike na kiume nao wataongezeka kuwa sehemu ya hiyo familia! So ulezi bado unaendelea!
Otherwise make your grand kids your kids, there is wisdom in that!
Huwa ninajifunza mengi sana kupitia uandishi pamoja na ideas zako. Be blessed.
ThanksBe blessed twice Chief!
Upo sahihi sana mkuu...Haipendezi ,wazazi wa zamani walikuwa wanatwanga fasta fasta ,wanapishana mwaka mmoja hadi miwili anazaa watoto wa5 hadi 10. ukipiga gap hapo Mtoto wa kwanza hadi wa mwisho wanapishana miaka 10 hadi 15
MatofaliLakini alishatwambia tufyatue tu!
Tatizo wanawaletea shida wengine? unazaa ukiwa na miaka 60 wakati huna uwekezaji wowote kuweza kuwasaidia hao watoto, unaishia kutengeneza migogoro kwenye familia na jamii kiujumla.
USITUPANGIE,Imani za kizamani eti kuzaa watoto ni baraka
Halafu unaposema uwezo ni kitu relative mwingine uwezo kwake ni kuwapeleka watoto international school ndio anajiona ana uwezo, mwingine akiweza kuwalisha ugali maharage usiku naye anajiona Ana uwezo
Whatever the case 3 children should be a maximum for everybody
changamoto tu za kimaisha; kuna magonjwa, kutengwa, uchumi n.k......
kwa sababu yoyote ile iliyokuwa, je azae huyu au asizae kisa mtoto wake nae anazaa?!!!
Niwaite wababu 😂Hahahaaaa eti wakaka wa 60