Uko sahihi, kama uwezo unaruhusu zaa sana tena sana ila pia jaribu kuweka mipangilio katika kuzaa kwako!
Anza mapema kisha maliza mapema ili kujipa muda wewe wa kutafuta na kujenga misingi imara ya familia ili hata kuanzia mwanao wa mwanzo apate muda wa kufundishwa na mwalimu wake wa kwanza maishani (baba & mama)!
Tusijisahau familia sio baba mama na watoto tu , maana kadri muda unavyosogea wajukuu na wakwe wa kike na kiume nao wataongezeka kuwa sehemu ya hiyo familia! So ulezi bado unaendelea!
Otherwise make your grand kids your kids, there is wisdom in that!