Uchaguzi 2020 Bado naona Lowassa wa 2015 ni bora kuliko Tundu Lissu wa 2020

Uchaguzi 2020 Bado naona Lowassa wa 2015 ni bora kuliko Tundu Lissu wa 2020

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya Mgombea Urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikiliza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Ukweli nikua kwa mara ya kwanza CCM wamekutana na mpinzani anayewatikisa na aliyewaondolea mazoea yao ya ovyo ovyo
 
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Ni haki yako ya kimsingi kuona hivyo, na endelea kuona hivyo maana hakuna sheria yoyote utakayokuwa umeivunja.
 
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa nini umekubali kushuka kiwango kiasi hiki?
 
Ukawa ile angepewa mtu kama Slaa ama Mbowe siasa za nchi hi zingekuwa nyingine.
 
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Kura yangu simpi Magufuli awamu hii.
 
Back
Top Bottom