Uchaguzi 2020 Bado naona Lowassa wa 2015 ni bora kuliko Tundu Lissu wa 2020

Uchaguzi 2020 Bado naona Lowassa wa 2015 ni bora kuliko Tundu Lissu wa 2020

Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Yohana, katika hilo natambua hata Lowassa mwenyewe hawezi kukubaliana na wewe. Kila kisingizio kitatafutwa msimu huu, pamoja na CCM toka 2016 kufanya kampeni za jukwani wao wenyewe kwa upande wa viongozi wa kitaifa na hata kuamini ya kuwa upinzani umekufa.

Sasa ni dhahiri kabisa hofu imewakumba. Wao wamejishika na dola, upinzani upo na nguvu ya umma.
 
Mjinga wewe!!
mjinga ni baabako mzazi akitaifisha maana yake inarudi serikalini kwa matumizi ya serikali kama kuwa ranchi au taasisi yoyote ya serikali
Akifuta hati miliki anaweza kuigawa upya au kuipunguza kwa alie nayo,kama ana ekari 100,zitamegwa 50
 
Yaani vijana Wa Lumumba ni empty set kweli , yaani unalinganisha vitu visivyokuwepo . Tupo 2020 wewe unalinganisha na 2015 akili matope ? 2020 Lowassa hagombei , Lissu anagombea ulinganifu unaoufanya ni up sasa wewe Dunderhead from Lumumba .
 
yaaan kila siku ccm wameacha kunadi sera zao wanajibu mashambulizi harafu ww unasema humsikii Lissu, njia rahis ya kujua kaongea nini uspate tabu wewe kazi yako wasikilize wapiga kampeni wa ccm na JPM mwenyewe! wanapojibu mashambulizi utajua kaongea nini
 
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa tufanyeje?? Mpe lowasa form pia
 
Weeeeee.. usilinganishe hao watu wawili. Nchi nzima sasa ni Tundu Lissu tu. Hapa Watanzania wenzangu tunaenda na Lissu. Huyu Jiwe sasa akapumzike kwao Chato huko, aangalie uwanja wa ndege na mbuga ile. Atupishe tujenge nchi na Lissu wetu.
Kipi kinachokufanya useme nchi nzima ni Tundu Lissu tu? hebu njoo huku tunapoishi wengine pengine utaona utofauti.
 
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya Mgombea Urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikiliza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.

Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.

Maendeleo hayana vyama!
Unataka Lissu anze kutetemeka mikono? Shindwa na ulegee. Hivi kale katabia alikosema Msukuma kuhusu huyu mtu wako bado anaendelea nako?
 
Lisu hatafikia hata kura za lowasa ukweli ni kwamba mwaka huu upinzani hawana sera wala mikakati ya kushindanisha na CCM zaidi yakuongelea personal issue na blaablaa tu unamsikiliza Lisu hotuba yake inaanza hadi inaisha analalamika tu badala yakutuambia utatufanyia nn tukikupa kura. CDM jiandaeni tu 2025 mwaka huu pigieni kampeni wabunge tu
 
Lisu hatafikia hata kura za lowasa ukweli ni kwamba mwaka huu upinzani hawana sera wala mikakati ya kushindanisha na CCM zaidi yakuongelea personal issue na blaablaa tu unamsikiliza Lisu hotuba yake inaanza hadi inaisha analalamika tu badala yakutuambia utatufanyia nn tukikupa kura. CDM jiandaeni tu 2025 mwaka huu pigieni kampeni wabunge tu
Utakuwa ama huna uelewa au umejitoa akili!
 
Ukweli nikua kwa mara ya kwanza CCM wamekutana na mpinzani anayewatikisa na aliyewaondolea mazoea yao ya ovyo ovyo
Kwahiyo huyu wa sasa anamzidi yule yule wa 1995 aliyekuwa anabebwa kama mgonjwa?, Kwahiyo anamzidi yule wa 2015 aliyekuwa anapokewa kwa kudeki barabara?. Opposition parties zinahitaji kujipanga kwa njia mbadala
 
😂😂😂😂 kweli Lissu kawashika vibaya lumumba. Yaaani unamfananisha fisadi lowassa na shujaa aliyeponywa na Mungu risasi 16 Lissu?
Umetumia MB zako bila manufaa: hawa hawafananishwi bali ni mapacha wasiiofanana
 
Back
Top Bottom