johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Wewe unakunya bila Mbowe bwashee?!Ningekushangaa kama usingemtaja Lowasa kwani bila yeye watoto wako hawezi kunya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unakunya bila Mbowe bwashee?!Ningekushangaa kama usingemtaja Lowasa kwani bila yeye watoto wako hawezi kunya!
Hakuna mgombea urais wa upinzani unaweza kumlinganisha na wa Chama Dola!Huku kuchanganyikiwa
Badala yakuwalinganisha wanao pambana utoe maksi unalinganisha mchezaji na shabiki aliye jukwaani mchezaji wa zamani
TAL Atakuwa kamwaga petrol
People people ccm muniachie nawatoa mwaka huu asanteni sana❓😂😂😂😂🤣😂😂🤣Lisu sio bubu, 2015 ukawa walikuwa na mgombea bubu.
Alijinyea eti ni kweli?huu ndo upinzani asilia wa TL.CCm oyeeKwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio ujue hakuna tofauti hata akiwekwa Nabii Tito watu watampigia tu kura kama walivyompigia Lowassa ambaye alikuwa akiongea kwa dk 5 tu ila bado watu wakampa kura. Hili suala la kusema Tundu Lissu hivi mara vile,hakuna jipya yaleyale tu kama kawaida hata Dk Slaa alisifiwa sana tu.Kama itakavyotokea Oct. 28, lkn kumbua lowasa vyama viliungana lkn lisu ni one party tu.
Lowasa hakumtoa kamasi JPM 2015.Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Issue sio kuongea Sana, Lissu hata kama anaongea Sana ila 90% ni matusi na malalamiko tu na ukiangalia kwa makini hata mashabiki zake wako na same characters.Lowasa alikuwa smart Sana kuliko huyu, na hata nusu ya nyomi za lowasa huyu hajafikia mpaka sasa. Tanzania inahitaji mtu mwenye maono, mwenye kuongoza kwa mifano kufanya yasiyofanyika hapo kwanza, mtu mzalendo mwenye uchungu na taifa lake. Mtu huyo ni Magufuli pekee, kwenye ile orodha ya watia nia ya urais.Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Lisu cha mtoti sana kwa JPM!Lowasa hakumtoa kamasi JPM 2015.
Lissu anamtoa kamasi vibaya sana JPM 2020 hadi kaomba poo (kaenda kupumzika hata kampeni mwezi bado!)
Mnadanganyika na umati wa watu wanaoenda kumshangaa Diamond na Harmonize!!Lisu ni hopeless
Hataamini kitakachomkuta oktoba hii
JPM+ Empty Head- Lakini Kuna Police na Jeshi linampa ukatiliTundu Lisu cha mtoti sana kwa JPM!
Kimombo anajua kuliko Jiwe kwani uongo?[emoji3]Lissu anapanda jukwaani anaanza kusimulia umbeya
Mara najua kingereza mara nini ilimradi blah blah
Inawezekana anagombea nafasi ambayo imamzidi uwezo
Kijani mmetoka wote kama mmetoka kufumaniwa [emoji3]lissu anaongea vitu ambavyo hakutumwa na ilani
jana karopoka morogoro akichaguliwa atataifisha ardhi,mwanasheria hajui tofauti ya kutaifisha na kufuta miliki
Kama hujui kiingereza siyo tatizo la Lisu, ni lako, kiingereza ni Lugha ambayo kwa Tanzania ndiyo tunafundishiwa masomo yote acha kiswahili. Kama wewe na Mwenyekiti wako hakipandi hayo yako.Lissu anapanda jukwaani anaanza kusimulia umbeya
Mara najua kingereza mara nini ilimradi blah blah
Inawezekana anagombea nafasi ambayo imamzidi uwezo
We kichwa panzi, lowasa kipindi cha kampeni zake, alikuwa anatoa mabasi mawili mawili kila chuo kikuu waende kwenye mikutano yake....vijijini alituma mabasi.....Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Mpigeni mzee msasa ajue hata cha kusalimiana n wenzake anatia aibu kimataifa [emoji3]Kimombo kilishindwa kumsaidia maadui zake wasimjeruhi pale Dodoma ?
Kama huna elimu ya sheria kaa kimya! Hizo shule zenu za Nyang'oro hizo msituletee hapa. Hivi unajua ilani ni nini? Au sera, mnalalamika kiingereza, hata kiswahili hamjui. Wewe unataka ataifishe au afute miliki? Akitaifisha ina maana kafuta miliki. Ile ardhi anaichukua anaiweka kwenye hifadhi ya kumbukumbu za Taifa tayari kwa kupewa mtu mwingine. Mjinga wewe!!lissu anaongea vitu ambavyo hakutumwa na ilani
jana karopoka morogoro akichaguliwa atataifisha ardhi,mwanasheria hajui tofauti ya kutaifisha na kufuta miliki