johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa..... Haelezei kabisa sera za chama chake!Lissu anapanda jukwaani anaanza kusimulia umbeya
Mara najua kingereza mara nini ilimradi blah blah
Inawezekana anagombea nafasi ambayo imamzidi uwezo
Kwani wewe unaonaje bwashee?!Kama unaona hivyo basi utakua una macho mabovu
Chadema mlimpa inatosha, CCM alichukua fomu akakatwa.Usituondoe kwenye mstari Bwashee, kama Lowassa ni muhimu kwanini hamkumpa fomu?!
Ukweli nikua kwa mara ya kwanza CCM wamekutana na mpinzani anayewatikisa na aliyewaondolea mazoea yao ya ovyo ovyoKwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Ni haki yako ya kimsingi kuona hivyo, na endelea kuona hivyo maana hakuna sheria yoyote utakayokuwa umeivunja.Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa nini umekubali kushuka kiwango kiasi hiki?Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!
Unatumia kipimo gani bwashee?!Kwa nini umekubali kushuka kiwango kiasi hiki?
Kura yangu simpi Magufuli awamu hii.Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya mgombea urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikilizza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni.
Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini Lisu inabidi aongeze juhudi kuifikia nguvu ya ushawishi ya yule mzee.
Maendeleo hayana vyama!