Mayanga construction company.Mimi ni muungaji mkono wa mheshimiwa katika yote anayoyafanya ila hili daraja la busisi nimeishiwa na nguvu kabisa
Daraja linajengwa kwa bilioni 700[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Hiyo ni pesa ndefu sana sijui nisemeje trilioni kasoro..