Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioachwa 1. OkrahSio mpaka uwe na elimu kubwa ya mpira ndio ung'amue mambo, Simba anasajili wachezaji 5, na wachezaji hao keshasajili 3 tiyali ambao wamekamilisha idadi ya wachezaji 12, kwa maana iyo inabidi wawakate wachezaji wengine 2 ili kumuingiza kipa na kiungo, kipa atachukua nafasi ya sakho anayeuzwa na kiungo pia itawabidi wamkate banda ili aingie, baada ya hapo akuna mchezaji mwingine wanayeweza kumkata
Usajili bado ndugu, kuna baadhi ya winga zitapunguzwa ili kupata 6 na 8, pia bado wachezaji wa ndani, tu it's subira tutakosoa baadaeTATIZO KUBWA ni no 6
Na nafasi zinaonekana kujaa.
mwaka huu mtaondoka na ndoo ya maji 😅😅😅Simba hoyeeeee...
Nafasi zimejaa jumla 12Sasa tunajadili vipi mapungufu ya usajili wakati unajua kabisa Simba haijafunga usajili
Tukumbushane baada ya msimu...yani mwaka huu mtavurugwa hamtaamini macho yenumwaka huu mtaondoka na ndoo ya maji 😅😅😅
mmepata mganga mpyaaa nini mtani 😅😅Tukumbushane baada ya msimu...yani mwaka huu mtavurugwa hamtaamini macho yenu
Sitoi siri ya kambi mtani... 🤣 🤣 🤣mmepata mganga mpyaaa nini mtani 😅😅
Wewe unalugha ya kwenye kahawa. Lini uliujua huo mpira?
Wewe mwenyewe hujui mpira
Usajili bado ndugu, kuna baadhi ya winga zitapunguzwa ili kupata 6 na 8, pia bado wachezaji wa ndani, tu it's subira tutakosoa baadae
Walioachwa 1. Okrah
2. Onyango
3. Akpan (au unadhani huyu mdigo)
4. Okwa
5. Sawadogo
Walioingia
1. Onana
2. Kwuame
3. Che Malone
Ofkoz kuna wa mkopo hapo ila jua ya kwamba viongozi wa Simba na kocha wao hawawezi kuwa wajinga kihivyo.
kwa nn Kakolanya kasepa
Una sema unahisi na una toa lawama kwa klabu ya Simba kumuacha Benno mbona haueleweki ?Nahisi
1. alichoshwa kukaa Benchi.
2.Alihitaji MASLAHI zaidi.
3 .kutafuta changamoto mpya.
4. Uongozi WA Simba haupo serious.
5. DHARAU kwa wachezaji wazawa.
Benno alisaini Singida wakati ligi ina endelea na Simba hawakuona namna yoyote ya kuendelea nae.Nahisi
1. alichoshwa kukaa Benchi.
2.Alihitaji MASLAHI zaidi.
3 .kutafuta changamoto mpya.
4. Uongozi WA Simba haupo serious.
5. DHARAU kwa wachezaji wazawa.