Bado siamini kama taasisi ya ikulu kuna washauri

Bado siamini kama taasisi ya ikulu kuna washauri

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Mfumo wa Tanzania ni ule wa zidumu fikra za mwenyekiti bado unatumika mpaka sasa,ndio maana MTU anateua then anatengua ,ni kama mwanafunzi ambae daftari lake utakuta uchafu wa kufutafuta .
Kiongozi lazima ujue maeneo yako ya mkakati machache na uyaweke chini ya watu maalumu na wajulikane kitaifa na hawa ndio unakaa nao kuteua unaotaka.
Siyo unataka kuteua unampigia simu mstaafu akushauri si vyema.

1.mshauri wa usalama
2.mshauri wa uchumi
3.mshauri wa afya
4.mshauri wa elimu
 
Kinachoonekana ni wastaafu kupewa majukumu, vijana hawana kazi. Ukimpigia simu mstaafu, anaowajua ni wastaafu wenzie! Tz bado Sana!!
 
Mfumo wa Tanzania ni ule wa zidumu fikra za mwenyekiti bado unatumika mpaka sasa,ndio maana MTU anateua then anatengua ,ni kama mwanafunzi ambae daftari lake utakuta uchafu wa kufutafuta .
Kiongozi lazima ujue maeneo yako ya mkakati machache na uyaweke chini ya watu maalumu na wajulikane kitaifa na hawa ndio unakaa nao kuteua unaotaka.
Siyo unataka kuteua unampigia simu mstaafu akushauri si vyema.

1.mshauri wa usalama
2.mshauri wa uchumi
3.mshauri wa afya
4.mshauri wa elimu
Wapo, ila nao wapo busy mitandaoni wakisifu na kuabudu. Nchi inatakiwa tutoke kwene mtindo huu wa maisha
 
Mfumo wa Tanzania ni ule wa zidumu fikra za mwenyekiti bado unatumika mpaka sasa,ndio maana MTU anateua then anatengua ,ni kama mwanafunzi ambae daftari lake utakuta uchafu wa kufutafuta .
Kiongozi lazima ujue maeneo yako ya mkakati machache na uyaweke chini ya watu maalumu na wajulikane kitaifa na hawa ndio unakaa nao kuteua unaotaka.
Siyo unataka kuteua unampigia simu mstaafu akushauri si vyema.

1.mshauri wa usalama
2.mshauri wa uchumi
3.mshauri wa afya
4.mshauri wa elimu
Kwenye masuala ya ulinzi na usalama mbona lipo baraza kitaifa.

Kwenye masuala ya uchumi mbona wataalamu wamejaa Bot,Hazina na Tra

Kwenye masuala ya siasa huku Utajiri upo mwingi ila watumie chuo Chao kilichojengwa Bagamoyo.

Kwenye masuala ya diplomasia watumie mabalozi wastahafu na wataalamu kutoka chuo Cha diplomasia.

Sijui kwa nini hauamini maamuzi ya raisi sio sahihi?
 
Back
Top Bottom