matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kama ni kulipisha pesa wanaokwenda kumuona hiyo walokole wote magwiji Dunia nzima wanafanya.
Kqma ni kuhadaa, manipulations, brainwashing, hypnosis na ujanjaujanja wa kuwatapeli wasiojitambua Kiroho Kila jumapili ulokoleni yanafanyika.
Wahubiri wa kubwa wote wanaomiliki makanisa na vilinge vya maombezi sio I kama wanatofauti na Huyu BWANA mkubwa.
Sijajua kitu kikubwa ambacho amekosea ambacho akirekebisha kanisa lake lifunguliwe.
Note: Simuamini na Hwa simzingazii sawasawa na watu wa Aina yake nchini na Dunia kote Ila sijaona sababu kubwa ya kumtofautisha na wenzake. Labda awe hajasajiliwa.
Kqma ni kuhadaa, manipulations, brainwashing, hypnosis na ujanjaujanja wa kuwatapeli wasiojitambua Kiroho Kila jumapili ulokoleni yanafanyika.
Wahubiri wa kubwa wote wanaomiliki makanisa na vilinge vya maombezi sio I kama wanatofauti na Huyu BWANA mkubwa.
Sijajua kitu kikubwa ambacho amekosea ambacho akirekebisha kanisa lake lifunguliwe.
Note: Simuamini na Hwa simzingazii sawasawa na watu wa Aina yake nchini na Dunia kote Ila sijaona sababu kubwa ya kumtofautisha na wenzake. Labda awe hajasajiliwa.