professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 350
26Una miaka mingapi
Unao tu huo na dawa zinauchochea tu.Hope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Unasemaje hapo!!Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto
Tatizo zinaa ni tamu kuliko ahadi za MunguUnao tu huo na dawa zinauchochea tu.
Mkiambiwa uasherati na uzinzi ni uchafu ,msiukaribie, mnaona mnadanganywa.
Kiranga komo.
Ebu fuatilia huu uziHope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Huwezi kuikwepa ngono mpaka pale utakapo amua rasmi kukata hicho kiabdala kichwa genyeHope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Nakuunga mkono bahariaTatizo zinaa ni tamu kuliko ahadi za Mungu
kama kweli vileee. itakukalia pisi hapo utajisemea liwalo na liweee.Hope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
😂 nawaambia ila wamechagua kumsikiliza mzabzabNyie simnasema Kondom inapunguza utamuuu.
Hayaa
Endela tu, ulishikwa mkono?Tatizo zinaa ni tamu kuliko ahadi za Mungu
NitajitahidiEndela tu, ulishikwa mkono?
Unashauriwa tu; uasherati na uzinzi ni uchafu, usiukaribie.
Uko Sahihi, thus why nasema hili ni funzo kwangu natakuwa balozi kwa wengine.Endela tu, ulishikwa mkono?
Unashauriwa tu; uasherati na uzinzi ni uchafu, usiukaribie.
Utafanya tuHope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
wewe uzee ushakupitia haunogi tenaUnao tu huo na dawa zinauchochea tu.
Mkiambiwa uasherati na uzinzi ni uchafu ,msiukaribie, mnaona mnadanganywa.
Kiranga komo.
Mungu akusaidie ukimaliza ufe tena kabla hujakumbuka kutubu ufe kifo cha aibu. Kipindi unamla huyo maiti mwenzio ulikuja kusema hapa mbona leo unapitia mateso ndio usemeHope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.