Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
"""umejaza nyama ila mashine haikui"""" πππππ
Naskia harufu.....
Naskia harufu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo watoe ujinga hao ππππNyie simnasema Kondom inapunguza utamuuu.
Hayaa
Acha kunitisha wewe, kama Mungu angehesabu maovu yetu nani ange simama??Mungu akusaidie ukimaliza ufe tena kabla hujakumbuka kutubu ufe kifo cha aibu. Kipindi unamla huyo maiti mwenzio ulikuja kusema hapa mbona leo unapitia mateso ndio useme
Acha hizo pep unapoteza muda, anzq ARV uimarishe kinga, HIV oyee.Hope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Possibility ya kurudia tena ni kubwa.Uko Sahihi, thus why nasema hili ni funzo kwangu natakuwa balozi kwa wengine.
Mkuu nimepata somo kubwa sana.Possibility ya kurudia tena ni kubwa.
Mimi hapaAcha kunitisha wewe, kama Mungu angehesabu maovu yetu nani ange simama??
Alikubali kabisa nikampime, lakin badae nikasema acha nitumie tu pep mana Kuna Dr alinambia kuwa Kuna watu wao ni Carrier wa virus hata upime aje huoni muda huo huo akasema kama akitumia pombe sitaweza kuona double line... Baada ya maelekezo haya Nika mkblock yule manzi hadi Leo.Hakukubali mkapime??
Kuleni tu, mkila ukimwi na magonjwa ya zinaa msije kutusumbuwa hapa jukwaani, kama huyo mjinga mwenzenu juu hapo.Kwa umri huo umetomban(a) mara ngapi?
Acha vijana wale ujana.
Ushakuwa bibi TULIAAAA
#YNWA
Okay ila ungepima tu hata kama majibu yangekuwa negative ungeendelea na dawa ila unakuwa kuna namna stress na hofu zimepungua kidogo.Alikubali kabisa nikampime, lakin badae nikasema acha nitumie tu pep mana Kuna Dr alinambia kuwa Kuna watu wao ni Carrier wa virus hata upime aje huoni muda huo huo akasema kama akitumia pombe sitaweza kuona double line... Baada ya maelekezo haya Nika mkblock yule manzi hadi Leo.
Afadhari bibi umesemaUnao tu huo na dawa zinauchochea tu.
Mkiambiwa uasherati na uzinzi ni uchafu ,msiukaribie, mnaona mnadanganywa.
Kiranga komo.