Hope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] una masifa dada faiza.Unaelewa kuwa Miss JF 2023 ni FaizaFoxy?
Utakoma ubishi.
Unashindwaje kumwita mkapima ili kutoa hofu..una miaka mingapiHope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Sawa mkuu Asante MTUMISHI.Haya PhD
UBARIKIWE na bwana
Ila pia hakikisha " Unaacha personal attacks kwenye mada yoyote"
Hii itakusaidia sanaaa.
#YNWA
Siwezi kusoma thread ya mwanamke asie na mvuto kwanguMsome tena post namba moja:
Hongera Sana FaizaFoxy, Mshindi wa U-miss JF 2023/2024
Kheri ya Mwaka Mpya Wakuu! Kama mjuavyo dunia inabadilika. Na Uwepo wa JF ni moja ya vithibitisho hivyo kuwa Dunia ya sasa imebadilika. Hatujuani kutokana na wengi kutumia Anonymous ID lakini hiyo haimaanishi kuwa hatujuani kifikra, kimawazo, kiitikadi, kiimani, kihisia na mambo mengineyo...www.jamiiforums.com
Pole yake sana...
fร nya ngono salama. tumia Kinga au pima kwanza afya na mwenza wako kabla ya kusex. Vinginevyo utakufa mapema maana kufinya ni rahaa huwezi acha. Usidanganye hilo ni wengeHope wote ni wazima wa afya.
Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.
Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.
Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.