Bado siku 17, nipo kwenye mateso wazee

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ acha kujiapiza uwongo, labda uikate hiyo dudu
 
Unashindwaje kumwita mkapima ili kutoa hofu..una miaka mingapi
 
T.L.D unalalamika je ungeikuta enzi za T.L.E ......

uNgefanyaje maana sio kwa mtiti wake
 
Una ujasiri wa kรบla barmaid kavu halafu ndoto na kichefuchefu ndiyo zikupe shida!
 
Siwezi kusoma thread ya mwanamke asie na mvuto kwangu
 
fร nya ngono salama. tumia Kinga au pima kwanza afya na mwenza wako kabla ya kusex. Vinginevyo utakufa mapema maana kufinya ni rahaa huwezi acha. Usidanganye hilo ni wenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ